Mwanamke ukimwambia ni mzuri na ukampa furaha anakuwa Mzuri

Haya yote yafanye Kwa mdada mwenye akili sio Kwa hawa kina bitrisi wa mwananyamala
 
Uzi una nondo zenye ujazo wa hatari Sana.Hongera Sana mkuu mtibeli kwa kutukumbusha wanaume majukumu yetu.
 
Nimeipata hii yakujifanya huna akili mjinga mjinga nimeikubali sana, wengi huacha kuwa karibu na wake zao anakuwa karibu na ndugu zake au watoto wa ndugu zake mkewe anapewa daraja la tatu, na hapo mme tegemea bomu tu muda wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…