Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemelaa mimi nina mwaka wa tano sasaNa wasipotongozwa miezi mitatu hukawii kuwakuta kwa waganga...
Mhnn... kwa kasolo ipi..!? Ai tumekuwa madomo zege!? Hapana shemela..!Shemelaa mimi nina mwaka wa tano sasa
Kutongozwa ni kudharauliwa haijalishi kuwe na ndoa wala kusiwe na ndoa iyo 95% uliyoizungumzia zimetembea dharau hapo kote.. kaa chini tena fikiria content ya mada kuna kitu utakigundua tu[emoji3][emoji3][emoji3] chief unachekesha kweli... Kilanndoa zilizo sajiliwa duniani 95 % lazima kulikuwepo kitendo cha kutongoza ... Kitendo cha kutongoza ndio mzizi wa mahusiano .... Hakuna demu atakufuata ww ulipo geto kwako na kukuomba mfanye mapenzi na kuanzisha familia ..lazima kwanza mtu atonhozwe then mahusiano huzaliwa ...hivyo bac kutongozwa sio kudharaulika
Subiri yaje yenyewe utakuja kuvuliwa chupiMahusiano yanakujaga automatic bila kutongozana mnajikuta tu hadi chupi mmevuana
Hebu usinifanye nilianzishe, ooh; shauri yako. You have been warned. 😁😁🏃♂️🏃♂️🏃♂️Shemelaa mimi nina mwaka wa tano sasa
[emoji16][emoji16] huo ndio ukweliMhnn... kwa kasolo ipi..!? Ai tumekuwa madomo zege!? Hapana shemela..!
Utauweza wewe mfupa uliomshinda fisi?Hebu usinifanye nilianzishe, ooh; shauri yako. You have been warned. [emoji16][emoji16][emoji2089][emoji2089][emoji2089]