Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Unamaana gani? Mwanaume ana UPENDO wa dhati ila kamkosea mwanamke ??? Mwanamke ndio Mwenye dhati ila amekosewa na mwanaume ?.
Na hilo kosa yaan unamaanisha "Mwanaume Kumuacha mwanamke?)
Ndio tena utalia kama mtoto🤣🤣🤣Kwamba ,kuna kubwa siku moja itanifanya nilie lie ?[emoji23] hahahahaha.
[emoji23][emoji23][emoji23] nitakua wa mwisho haahhahaha .Ndio tena utalia kama mtoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipigo kiko pale pale😅Nilikuwa hivyo hapo kabla ila kuna kasauti ubongoni kakawa kananiambia "ipo siku utakutana na kiboko yako!".
Walahi siku ikawadia!,penzini nikatumbukia matamu nikapewa!,kambani si nikatiwa! Halooo!.
Japo sijawahi kutoa chozi ila chamoto nilijionea!.
Mapenzi yanatesa nyinyi nachoshukuru I have strong mind naweza ku heal nakurudia timamu yangu pale napoona mambo siyo!.
Ni ujumbe mzuri lakini kwa ambao hawajapenda kwa mara ya Kwanza jua huu ujumbe hauwahusu mpk yawakute!. Mapenzi hayafundishiki na hisia hazifundishiki someone can read this but can't handle to practice it!.
This is for strong people not weak one.
'Mapenzi yanatesa nyinyi'Nilikuwa hivyo hapo kabla ila kuna kasauti ubongoni kakawa kananiambia "ipo siku utakutana na kiboko yako!".
Walahi siku ikawadia!,penzini nikatumbukia matamu nikapewa!,kambani si nikatiwa! Halooo!.
Japo sijawahi kutoa chozi ila chamoto nilijionea!.
Mapenzi yanatesa nyinyi nachoshukuru I have strong mind naweza ku heal nakurudia timamu yangu pale napoona mambo siyo!.
Ni ujumbe mzuri lakini kwa ambao hawajapenda kwa mara ya Kwanza jua huu ujumbe hauwahusu mpk yawakute!. Mapenzi hayafundishiki na hisia hazifundishiki someone can read this but can't handle to practice it!.
This is for strong people not weak one.
Nakemea fire fire fireeeeee..Kipigo kiko pale pale😅
Sasa si matamu..🤣'Mapenzi yanatesa nyinyi'
Cha ajabu hukomi.
AhhahahahaNakemea fire fire fireeeeee..
Umetema Madini .Hio story inaweza ku work out kama una papuchi kadha wa kadha ambazo zimenyooka unavuta tu na kugonga anytime[emoji28]
Usipokuwa na Sub ujue umeisha lazma ulie na kusaga meno hasa mwenzio akikukatia bogi ghafla.
Mara nyingi manzi akisepa kihisia anakuwa kahamia mtaa wa pili so unabakia vacant ila kama una watu wa kustorika nao na kukupa company za kimapenz huwezi tingishika hata kidole[emoji28]...Huu mchezo auhitaji hasira sasa we komaa na mayai yote kwenye kapu moja tu[emoji28]
Labda uwe ndezi! Uniache af nna mashine 3 sampuli kama hii nakuwaza hata sekunde sasa.Umetema Madini .
Kuna wengine wanasema hata ukiwa nao kadhaaa, et yupo mmoja kiboko ???.
Manzi kama huyu akiwa geto, kabla hujamla, Unampikia msosi Mtamu anakula anashiba kwanza .Labda uwe ndezi! Uniache af nna mashine 3 sampuli kama hii nakuwaza hata sekunde sasa.
View attachment 2078548
Nashangaaga sana akina Diamond sijui wana feli wapi hawa ndio watoto wa kuoa unashangaa mijamaa inahangaika na makurubembe yalioshindikana mjini.
Hahahaha unahakikisha kala kashiba halafu show inaanza😅Manzi kama huyu akiwa geto, kabla hujamla, Unampikia msosi Mtamu anakula anashiba kwanza .
Hujapenda bado mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23] nitakua wa mwisho haahhahaha .
Kwa Dunia gan ya kumpenda mwanamke kiasi cha kumpa hiyo nafasi??.
Sina neno[emoji3]Sasa si matamu..[emoji1787]
Na usiwe nalo..😁Sina neno[emoji3]
Rafiki yangu mmoja kila mara aliniambia dawa ya mwanamke ni mwanamke ila nilipuuza tu ushauri wake,jamaa anakuwaga na sub so haumizwi kabisaHio story inaweza ku work out kama una papuchi kadha wa kadha ambazo zimenyooka unavuta tu na kugonga anytime😅
Usipokuwa na Sub ujue umeisha lazma ulie na kusaga meno hasa mwenzio akikukatia bogi ghafla.
Mara nyingi manzi akisepa kihisia anakuwa kahamia mtaa wa pili so unabakia vacant ila kama una watu wa kustorika nao na kukupa company za kimapenz huwezi tingishika hata kidole😅...Huu mchezo auhitaji hasira sasa we komaa na mayai yote kwenye kapu moja tu😅
Hahahah sub muhimu lasivyo utakosa control utakuwa unaendeshwa kama gari bovurafiki yangu mmoja kila mara aliniambia dawa ya mwanamke ni mwanamke ila nilipuuza tu ushauri wake,jamaa anakuwaga na sub so haumizwi kabisa
Wacha tutafute sub😅Hahahah sub muhimu lasivyo utakosa control utakuwa unaendeshwa kama gari bovu