Mwanamke umpendaye anapokuacha, ufanye nini upone?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Endapo huyo mwanamke ana maslahi kwako, endelea kumnyenyekea. Kikubwa mwanaume tazama zaidi maslahi yako kuliko chochote.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawaajui haya kua hayana formula.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaka flani nilizinguliwa na Mademu wangu watatu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sema nilikuwa na back up nyie nyiee unaweza kufaa bila hivyoo
 
Mwaka flani nilizinguliwa na Mademu wangu watatu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sema nilikuwa na back up nyie nyiee unaweza kufaa bila hivyoo
Hahahah usiombee alosto ya mbunye weee😅
 
Jiongopee tu
 
Ha ha ha nalala na kiredioooo[emoji445][emoji444]

Sisi ndo maua ya duniaa.... kazi iendeleew..
Mulie weeee mpk baasii.. ila raha kuliliwa jamani[emoji4][emoji4] napenda kudeka mimi mwanamkeee[emoji28][emoji28][emoji28]


Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
They think its that easy... hisia kitu kingine hasa ukiwa real kwa mwenzio. Or else hajawahi penda kweli ni hit and run

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Tangu nimeoa nimesahau kutongoza kabisa hii khali ni ugonjwa ama
 

Kuna mtoto wa ma mkwe analialia huko wasap nimefanikiwa kumpiga na kitu kizito
Na yeye alikuwa mjanja mjanja lakini kasalimu amri[emoji1376]
Hapa wanapeana moyo na maujanja yote ila inbox wanalia lia
 
Kuna mtoto wa ma mkwe analialia huko wasap nimefanikiwa kumpiga na kitu kizito
Na yeye alikuwa mjanja mjanja lakini kasalimu amri[emoji1376]
Hapa wanapeana moyo na maujanja yote ila inbox wanalia lia
Mnawaokota wapi hap kulia lia? Yaan wanawapa Moyo, akili, kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnawaokota wapi hap kulia lia? Yaan wanawapa Moyo, akili, kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu mchaga mjanja sana ila this time around kaangukia pua na kakubali
Alijua kunitesa sana enzi hizo aisee ni kaniliza mpaka basi now karudi mi sina hata hisia haamini....
Sijui kilicho mkuta huko kwa sub zake mpaka anarudi na vilio...
Kwa kifupi sijamkataa na sijamkubali nipo tu hapo naenjoy the feeling ya mtu kuteseka,nikichoka kucheza ntamuacha huru
 
Kuna mtoto wa ma mkwe analialia huko wasap nimefanikiwa kumpiga na kitu kizito
Na yeye alikuwa mjanja mjanja lakini kasalimu amri[emoji1376]
Hapa wanapeana moyo na maujanja yote ila inbox wanalia lia
Hawa ni majentromen wa JF tu hawanaga ishu hata 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…