Mwanamke umpendaye anapokuacha, ufanye nini upone?

Upone kvp jamani???tushawaambia hakuna kupenda penda jamani
 

Imagine!!!!MNASTAHILI HONGERA MPAKA WATOTO WA MAMA WANALETA NYUZI ZA KULILIA MAPENZI DAH
 
Atakufa kwa presha
Afe tu hana faida....Na kweny mazishi yake unaenda unakula ubwabwa wake huku pembeni umekaa na mama ake unamfuta futa machozi.......Roho yake inaendelea kuona unyama unaomfanyia....... Ukimaliza hapo usiku unampa mama ake penzi moto unanyonya ziwa alonyonya yeye na ukiwa chumbani na kitandani alichokua akilala yeye...Inatia huruma
 
Wee ni mkatili sana
 
Tumia akili we mmama . Una comment matapishi TU hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…