Mwanamke unalala mpaka saa nne asubuh huku mwanao yuko nyumba za watu kila siku akidowea chai

Mwanamke unalala mpaka saa nne asubuh huku mwanao yuko nyumba za watu kila siku akidowea chai

Aloreiya

Member
Joined
May 7, 2014
Posts
80
Reaction score
34
Yan inasikitisha kwa kweli., utamkuta mama mpk saa nne asubuh hajaamka na ana mtoto mdogo. Na hata hajaanda breakfast ya mwanae na hana mpango huo kila siku sasa sijui bajeti ama ni nn. Hapo mtoto akiamka anaanza kusumbua next door kuomba chai tena kila siku, akinyimwa hapa anaenda pengine.

Maisha ya dar yalivyo magumu ww kama huna na mwenzio pia hivyo hivyo na kama unacho usiwe mvivu kumuandalia mtoto wako unamwacha mpk saa nne bila hata ya kikombe cha uji.!!!

Sio vizuri kina mama tuache uvivu na tuache bajet kali kwan mtoto akiamka ukimpa kichai na kiandaz kimoja anaridhika. Badilikeni bana aaaaarrgh
 
mwanamke wa hivyo hafai ...arudi kwa babake akadeke na awe analala lala kama paka
 
Tena me wifi ang ndo yuko hivyo mwanae anaomba omba wali asubuh nyumban kwa watu huku yeye kalala tu., nikampa makavu live
 
Tatizo sio kuamka saa 4 bali ni hicho kitendo cha kutomwandalia mtoto msosi wake
 
Tena me wifi ang ndo yuko hivyo mwanae anaomba omba wali asubuh nyumban kwa watu huku yeye kalala tu., nikampa makavu live
Makavu live yangeenda sambamba na kujenga nyumba ya fence kuongeza umbali wa kutembea
 
Si kwamba mtoto akila kwako unachukia., ale ila sio daily ukiweka kikombe nae huyoo. Maana dunia siku hiz imebadilika watu wana roho mbaya sana wanaweza wakamlisha mavitu yasiyoliwa huko. Umenisoma Zamiluni Zamiluni
 
mtoto anafundishwa kujitegemea katika umri mdogo kabisa, huyu baadae lazima awe panya road!!
 
Sasa hata akiamka saa 12 hakuna cha kumuandalia mtoto afanyeje? Ndio anajikausha ili mtoto ajiongeze.
 
kama ana mume unampiga ngumi akooe damu .. ni kumtesa mtoto na kumfundisha tabia mbaya ya kuomba omba
 
Ni kweli aisee. Hawa watoto wetu tunalelea kizungu wanakuwa too dependent, lol.

Ila nimecheka sana. Mtoa mada ahame uswazi tu. Sasa katoto ka jirani ukikapa chai na maandazi kanashukuru kanaenda zake, hakawezi kukutia umaskini bwana. Zaidi ni baraka tu
mtoto anafundishwa kujitegemea katika umri mdogo kabisa, huyu baadae lazima awe panya road!!
 
Ni kweli aisee. Hawa watoto wetu tunalelea kizungu wanakuwa too dependent, lol.

Ila nimecheka sana. Mtoa mada ahame uswazi tu. Sasa katoto ka jirani ukikapa chai na maandazi kanashukuru kanaenda zake, hakawezi kukutia umaskini bwana. Zaidi ni baraka tu
uswahi bajeti ilivyo kali hata kikombe kimoja cha chai na andazi ni hasara tosha, kimsingi hako katoto lazima kajifunze u hustler!!
 
Back
Top Bottom