So huna kazi wala,biashara?? Mh unakamoyo ka kizalendo mwenzangu, UNAISHIJE??
Hahahaha hayo mengine niachie mwenyewe lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So huna kazi wala,biashara?? Mh unakamoyo ka kizalendo mwenzangu, UNAISHIJE??
Hahahah hilo la kupika halinisumbii kabisa huwa napenda ndani muwe na chakula chochote hata akiamka mtu usiku na njaa anakula tu hivyo watakao amka kabla yangu hawatokaa na njaa....
Na usafi usiku nahakikisha hakuna vyombo vichafu na nyumba ipo katika hali ya usafi sasa hapo aje mtu aniamshe naweza nkammeza lol
Somo ake nimekupenda bureee, unanifaaa hasaa
afu siku unakuja hapa kulalamika kuwa mumeo anachepuka ntakushangaaHuhuhu mwenzenu mambo ya kuamka alfajir hasa siyawezi nimeamka mapema basi saa tatu
afu siku unakuja hapa kulalamika kuwa mumeo anachepuka ntakushangaa
sasa wewe farkhina mpaka uamke saa nne umelala saa ngapi au usiku ndio unakuwa unashughulika hapo ntakuelewaAchepuke kisa nachelewa kuamka? Labda atakua ameamua tu nyie wanaume hata mpewe nini mkiamua kuchepuka mnachepuka tu.....nijikurupushe nijitese ati kisa mwanamme asichepuke hapana iyo kitu
sasa wewe farkhina mpaka uamke saa nne umelala saa ngapi au usiku ndio unakuwa unashughulika hapo ntakuelewa
hongera zako farkhina mambo yako yatakuwa mazuri wewe ukiwa na njaa huwezi kulalaHata nilale mapema kuamka huwa nachelewa kulala ndio starehe yangu duniani....