Mwanamke unalala mpaka saa nne asubuh huku mwanao yuko nyumba za watu kila siku akidowea chai

Mwanamke unalala mpaka saa nne asubuh huku mwanao yuko nyumba za watu kila siku akidowea chai

Hahaha pole hebu niambie hayo maswali nkusaidie kujibu

1. Labda unatumika sn usiku!
2. Labda visimamo!
3. Labda umejiajiri!
4. Labda huna ajira!
5. Labda mvivu!
6. Labda usingizi wa samaki pono!
7. Labda huna mtoto!
 
ukiamka pika kabisa

Hahahah hilo la kupika halinisumbii kabisa huwa napenda ndani muwe na chakula chochote hata akiamka mtu usiku na njaa anakula tu hivyo watakao amka kabla yangu hawatokaa na njaa....

Na usafi usiku nahakikisha hakuna vyombo vichafu na nyumba ipo katika hali ya usafi sasa hapo aje mtu aniamshe naweza nkammeza lol
 
1. Labda unatumika sn usiku!
2. Labda visimamo!
3. Labda umejiajiri!
4. Labda huna ajira!
5. Labda mvivu!
6. Labda usingizi wa samaki pono!
7. Labda huna mtoto!

Majibu kutokana na namba za maswali...

1)hahhahaha la kwanza wacha nkanywe maji kwanza mana gumu hatari.....

2)ndio mana kazi zote za ndani kila kitu nafanya mwenyewe na nyingi za kusimama kama kupika labda nisaidie na baba watoto..

3)ndio

4)ndio

5)hapana katika watu wavivu unitoe kabisa sina hio ila


6)sio wa samaki pono ila wa binaadamu tu kulala ndio starehe yangu

7)mtoto nnae....

Natumani nimejibu vizuri lol
 
Hahahah hilo la kupika halinisumbii kabisa huwa napenda ndani muwe na chakula chochote hata akiamka mtu usiku na njaa anakula tu hivyo watakao amka kabla yangu hawatokaa na njaa....

Na usafi usiku nahakikisha hakuna vyombo vichafu na nyumba ipo katika hali ya usafi sasa hapo aje mtu aniamshe naweza nkammeza lol

ila ni vizuri mke kumuamsha mume na sio mume kumuamsha mke
 
Sasa hata akiamka saa 12 hakuna cha kumuandalia mtoto afanyeje? Ndio anajikausha ili mtoto ajiongeze.

ndo kila siku hakuna cha kumuandalia huo muda wa kulala si bora akatafute hata kibarua
 
Majibu kutokana na namba za maswali...

1)hahhahaha la kwanza wacha nkanywe maji kwanza mana gumu hatari.....

2)ndio mana kazi zote za ndani kila kitu nafanya mwenyewe na nyingi za kusimama kama kupika labda nisaidie na baba watoto..

3)ndio

4)ndio

5)hapana katika watu wavivu unitoe kabisa sina hio ila


6)sio wa samaki pono ila wa binaadamu tu kulala ndio starehe yangu

7)mtoto nnae....

Natumani nimejibu vizuri lol

Kwa kweli ubarikiwe sn
 
mwe! Ya mwanamke kuamka zaidi ya saa2 asbuhi, ratiba yake huwa sio hasahasa ukiwa na mtoto mdogo. Hiyo saa4 hata kitanda hutandikwa? Mara mchana ushaingia.
 
mwe! Ya mwanamke kuamka zaidi ya saa2 asbuhi, ratiba yake huwa sio hasahasa ukiwa na mtoto mdogo. Hiyo saa4 hata kitanda hutandikwa? Mara mchana ushaingia.

Inategemea unajipangaje me ndio naamka mda zaidi ya hiyo na mtoto mdogo chini ya mwaka nkiamka kila kitu kinaenda sawa nashkuru
 
Inategemea unajipangaje
me ndio naamka mda zaidi ya hiyo na mtoto mdogo chini ya mwaka nkiamka
kila kitu kinaenda sawa nashkuru

kama unapangilia ratiba zako hivyo, hongera yako. lakin asilimia kubwa mitaani wenye mtindo huo ratiba zao za ovyo
 
Acha uchoyo,ruhusu moyo wako majirani wamwone Yesu kupitia wewe.
 
Jaman sio uchoyo ambao ninao., kama mm naamka saa mbili nikaamka saa mbili nikamwandalia toto ang kwa nn mwingne mzgo wake awasumbue wengne? Na huyo mtoto niliemwona pia anahqngaika nyumba za watu kuomba kifungua kinywa baba ake anaacha kila kitu kwa mkewe ila mama ndo mvivu kumuandalia mwanawe., saa ingne mpk saa tano kalala tu mtoto wa kike halafu umeolewa. Siku baba hajaenda kwa job asubuh akamckia toto ake anaomba kiporo nxt door, baba akaamka kumchek mwanawe, akamwona amekaushia pale. Uwiiiiiii baba kapatwa na hasira alimpiga vby mke wake tena alipigika kwa sababu anamdhalilisha mtoto wkt baba ana kila kitu ila tatizo ni uvivu. Kapigika yule dada lkn hajaacha mpk leo hii na mtoto asubui kashazoe hiyo tabia. Tunawaharibu watoto wetu, watoto tuwakataze kula kwa watu, siku izi dunia imeoza hiii
 
Mi mwenyewe napenda kula, nkalale mpk saa 4 ntathubutu. Na hilo la kumtesa mtt jamani sio vizuri, ni kheri tu usizae uwe peke yako ulale mpk ugeuke godoro. Mwanamke mzima hata kukaanga chips na yai unashindwa. Poo
 
Sio wote wavaao magauni wanafaa kuitwa wazazi wa kike , wengine wana vizazi tu lakini sio wazazi.

Wengine ni Wazazi lakini wamenyimwa Vizazi.
 
Back
Top Bottom