MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Habari waungwana,
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi... kwa pamoja mjibu CHAMA KIENDELEE. Leo na mimi nimeamua nije nitoe neno kuhusu mapenzi. Watu wengi mmekuwa mkitamani mjue msimamo wangu kuhusu haya mambo. Leo nitaongea jambo moja tu kwasababu mapenzi ni mrundikano wa upuuzi mwingi sana.
Nasema ni upuuzi kwasababu ukiwa na akili timamu ni ngumu kuhimili mapenzi kwa muda mrefu. Kikawaida ishu za mapenzi ziko kihisia zaidi ndo maana akili haipati nafasi za kimaamuzi. Maamuzi mengi yanafuata hisia. Kwahiyo yeyote anayependa ajijue kabisa ana uwendawazimu wa kutosha. Mimi pia ingawa nimejaliwa akili nyingi sana ila nikiingia huko nauvaa uwendawazimu ili mambo yaninyookee.
Tunajua wakina dada wakifika umri fulani huhitaji sana kuolewa hivyo huingia kwenye mahusiano purposely kupata ndoa. Ni jambo jema na la heri. Ila mimi ninakerwa sana na tabia ya wadada kutokuwa na subira. Yaani wanakuwa ni watu wa kufosi mambo. Utakuta kila baada ya miezi sita (6) anakumbushia kuhusu kuolewa.. hadi mwanaume muoaji anapata stress. Mimi mtu akinikumbusha mara tatu mfululizo (yaani miezi 6 × 3) tayari namuona hana subira na ana nia ovu. Wadada kuweni na subira maana yavuta heri.
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi... kwa pamoja mjibu CHAMA KIENDELEE. Leo na mimi nimeamua nije nitoe neno kuhusu mapenzi. Watu wengi mmekuwa mkitamani mjue msimamo wangu kuhusu haya mambo. Leo nitaongea jambo moja tu kwasababu mapenzi ni mrundikano wa upuuzi mwingi sana.
Nasema ni upuuzi kwasababu ukiwa na akili timamu ni ngumu kuhimili mapenzi kwa muda mrefu. Kikawaida ishu za mapenzi ziko kihisia zaidi ndo maana akili haipati nafasi za kimaamuzi. Maamuzi mengi yanafuata hisia. Kwahiyo yeyote anayependa ajijue kabisa ana uwendawazimu wa kutosha. Mimi pia ingawa nimejaliwa akili nyingi sana ila nikiingia huko nauvaa uwendawazimu ili mambo yaninyookee.
Tunajua wakina dada wakifika umri fulani huhitaji sana kuolewa hivyo huingia kwenye mahusiano purposely kupata ndoa. Ni jambo jema na la heri. Ila mimi ninakerwa sana na tabia ya wadada kutokuwa na subira. Yaani wanakuwa ni watu wa kufosi mambo. Utakuta kila baada ya miezi sita (6) anakumbushia kuhusu kuolewa.. hadi mwanaume muoaji anapata stress. Mimi mtu akinikumbusha mara tatu mfululizo (yaani miezi 6 × 3) tayari namuona hana subira na ana nia ovu. Wadada kuweni na subira maana yavuta heri.