Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 22,527 Reaction score 79,976 Jul 3, 2021 #21 Kwa hiyo katika hiyo miezi sita asikumbushie ndoa na wewe mchezo hupewi?ama akikumbushia ndoa anaonekana ana nia ovu lakini kuzini nae ni kwa nia njema? Intro ya uzi umeandika kama una akili vile kumbe ni 💩💩 Funga ndoa acha uzinzi
Kwa hiyo katika hiyo miezi sita asikumbushie ndoa na wewe mchezo hupewi?ama akikumbushia ndoa anaonekana ana nia ovu lakini kuzini nae ni kwa nia njema? Intro ya uzi umeandika kama una akili vile kumbe ni 💩💩 Funga ndoa acha uzinzi
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 3, 2021 #22 Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Daktari wa Manchester JF-Expert Member Joined Jun 1, 2020 Posts 350 Reaction score 403 Dec 3, 2021 #23 Kwanza kuolewa ni Bahati sana Kuna watt wakike wapo watupu ndio maana wanang'ang'ania
MamaSamia2025 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2012 Posts 14,588 Reaction score 32,361 Dec 3, 2021 Thread starter #24 Mkwaha said: Nimeishia hapo ulipoitaja CCM. Click to expand... Chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo wadada wanaolilia ndoa
Mkwaha said: Nimeishia hapo ulipoitaja CCM. Click to expand... Chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo wadada wanaolilia ndoa
Unforgettable JF-Expert Member Joined Aug 1, 2019 Posts 5,584 Reaction score 12,461 Dec 3, 2021 #25 Usikumbushwe wewe nani
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 Dec 4, 2021 #26 [emoji3][emoji3][emoji3] Wenzetu wanaoana, Bongo Kuna kuoa na kuolewa!