Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

kwan demu nikisex nae kwake kuna shida gani....AU MASHINE HAIPITI?
 
CHUMBA CHA MTOTO WA KIKE KINA STAHA YAKE JAMANI HATA KAMA UNAHUDUMIA KILA KITU.
LEO NA KESHO TUMEBWAGANA NTASHINDWA KUMLETA MWENGINE KULINDA HESHIMA YNG MTAANI ILA KWA WANAUME NI POA TU (MWANAUME HAITWI MALAYA ) SO KAMA KAMA UNATAKA UHURU WA KUGARAGARA KITANDANI BORA UOE KABISA.
Mh sio kweli kwa hiyo sie wanaume vitanda vyetu ndio halali kuleta wanawake ..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo mada nimechelewa !! Ex wangu nilikuwa naenda geto kwake alikiwa anaishi na dada yake ... Yaani nilikuwa amtafuna kwa kujishitukia lkn yy alikuwa comfortable yaan alikuwa ananiweza sana sometimes ananipigia simu "naumwa homa njoo nipeleke hospital ..." nikifika tu Doh anataka game ....therefore Kpkote kambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mwanamke hataki mfanyie sex kwake,tambua kwamba kuna mwenzako ambaye huwa anakuja kufanyia hapo hivyo anaogopa majirani kumuona kua amezidi uzinzi.

Pia ogopa sana wanawake ambao ukienda kwake anaingiza viatu au open shoes ndani na anavificha huku wewe ukiwa chumbani,wengi ni multi-partners orinted.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa hauheshimu makazi yako unayaondolea kabisa baraka
 
Ni sawa, but what difference does it make kama ni huyo huyo? Hivi mkijifungia ndani mnapiga story for 4 hours, wafikiri sisi tulio nje tunajua mnapiga story? unajifurahisha tu ndugu, weka msimamo asije kabisa na msisex ndo nitakuelewa.... nyingine zote ni kuvaa mask tu.
Umeongea kwelii kabisaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkiachana na mwingine umlete hapohapo tena duu patakuwa danguro hapo mtaani majirani watakuona Shangingi
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Tena mie nakugegeda humo chumbani kwako halafu nikiondoka unafua hayo mashuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ukifanyia kwingine inakua imebadilika au ukifanyia kwako inapanda thamani
Namaanisha adabu heshima na mazingira nayoishi pamoja na majirani zangu,....unawafunza nini haswaaa watoto wa umo ndani na wasichana kumbuka heshima ni ki2 cha bure.
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Huna akili
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Yaani kidume alipe kodi alafu umnyime kula hiyo mbususu hapo anapolipia kodi...aisee wanawake mnamaajabu yenu 🤣🤣🤣🤣
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Haiwezi tokea sababu hakuna jipya na wanajua mko wengi.
 
Back
Top Bottom