chiko mkunungu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 729
- 646
na ndomana kila umpatae anakuacha unakuja uku jf unasema unamapenzi ya dhati ila umpati mwanaume mwenye mapenzi ya dhati hi yote inatokana na ww kuwa vitabia vyako na vimisimamo vyako vya ajabu ajabu visivyokuwa na kichwa wala miguu kwa style hii utaendelea tuu kulalamika kwnye mapenzi cku zote ww mtoa mada mana bado ujajielewa.sbb mtu awezi akakulipia nyumba nusu upande let say 200k kwa mwezi afu aje kwako akitaka sex na ww umgomee uanze sema eti tutasex kwako na c hapa kwngu sasa kwa akili tu ya kawaida unazani mwanaume anajenga picha gani kwako afu utake mapenzi ya dhati utapigwa kurunge daily na kuachwa ndoa utaisikia kwnye bomba........