Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Kwani pamekua msikitini au kanisani hapo
 
Naupenda msimamo wako wasikushawishi endelea hivyo hivyo
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Khaaa huo ujinga yaani kwan kuna nin kwako utapanuliwa tu hapo hapo kwako
 
Mimi huo ni msimamo wangu kabisa. Hutaki basi,
Yaani nyie ndio huwa mnaachwa mchana kweupee, kumkatalia mwanaume anaekugharamia kusexnae home kwako kunamfanya asikuamini maana atahisi kuna kidume mwingine yupo unaogopa asijewakuta mnaduu
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu

Duuuuuuuu. Kila mtu kweli ana maono yake. Ila kiuchumi. Kama kakupangia lazima aangalie anakupangia wapi. Kama ni wapenzi na nyumba haina masharti kwanini mpangiane wapi Pa kufanya. Mana ni hisia au la utakuwa kibaka sasa hutaki kucompromise Eneo. Ili ule kotekote uchumi na Ukwep fumanizi.
 
Kama ww ni mpenz wangu na unakula vyangu Popote pale utaliwa tu,kwako, kwangu utaliwa tu kibabe,kwa kubakwa utaliwa tu
 
Sasa kibaya nini hapo kama ni mpenzi wako?
Kama ni mtu wa kutulia kwenye uhusiano mmoja sioni mbaya kabisa kusex kwangu! Sipendi mambo ya gesti na kufanyia kwake kila siku kutaniboa... Na sometimes nipo huru zaidi nikiwa kwangu!
hapo umenena miss, ukiona mwanamke anakukataza kuenda kwake jua mpo wengi
 
Tatizo una crame maisha..ninyi ndo wale wale wanawake wanaosema siwezi mpa hata shilingi mia mwanaume yeye ndo anipe. MAISHA HAYAKARIRIWI NA MAPENZI PIA..UJUE KUNA KUPANDA NAKUSHUKA KWA KILA JAMBO.
 
Sex gan unaizungumzia?. Kama ndo hii ni ijuayo mm nyumban kwako ndo mahali sahihi gest ni nyumba za kulala wageni
 
Afu sex hampangi kama mnaependana..u end up being intimate..ili mradi pawe privacy
 
Wee utakuwa upo na kibabu mume wa mtu na upo nae kwa ajili ya kukulipia kodi ndo unamhadaa hamu ila lazima kuna mtu anakukula kiulaini xna hapo kwako
 
Tatizo una crame maisha..ninyi ndo wale wale wanawake wanaosema siwezi mpa hata shilingi mia mwanaume yeye ndo anipe. MAISHA HAYAKARIRIWI NA MAPENZI PIA..UJUE KUNA KUPANDA NAKUSHUKA KWA KILA JAMBO.
kumpa mwanaume hela eti mnasaidiana ni kujipendekeza tu. MUME ndo ninaweza kumsaidia huku nikijua ni mume wangu
 
Back
Top Bottom