Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
- Thread starter
-
- #121
Kwani mimi dry clean [emoji53][emoji53][emoji53]Kwa hiyo wewe unataka ukachafue mashuka kwa mwenzio halafu uondoke? Basi inawezekana wewe ni mvivu wa kufanya usafi!! Tena ukome Kabisa.
HapanaKwann umejipa huo msimamo? Au wapo wengi unaogopa wakakutana humo ukiwa kwenye uwanja wa sita kwa sita?
Kama unampenda kweli, hata huo msimamo hutauweka tena
Ungeweka ya kwako. Igefaa zaidi. Maana mimi sina shobo hizo [emoji23][emoji23]Heee!! Kumbe ni tangazo la bidhaa!? Umesahau kuweka namba ya simu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo sina mda wa kuwa na MarioAnawapata wa Kolomije. Mkolomije analipa kodi halafu anapigwa masharti kwamba sex hapa marufuku. Hii ni janja ya huyu mtoa mada ili mchepuko toka born here here town upate nafasi
Nahisi huyo kwangu. Ataona kituo cha polisihahhaahhaa kuna wengine hawachangii chochote lakini sex wanataka kwako lodge wanapaona kituo cha polisi
[emoji23][emoji23]Ajakupatia..my dear kuna watu ukiwaona tu unataman apoapo lol..[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Na huwezi kuelewa. Kama hujui kusomaHata sijaelewa
KumbeeeTatizo wanaume wajinga wa aina hiyo hawapo! Eti akulipie kodi ya chumba then akagegedee ugenini hapana!
Na kama watakuwepo basi wamelogwa itabidi wapelekwe kwa mzee wa dude pale ubungo.
Acha upuuuz wewe... Huna ata aibu? Yaan ad mtu wako unamfanyia mtimanyongo? Mwanamke una roho mbaya wewee lohh... Ufeee! [emoji57] [emoji57]Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.
Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.
Tutafanyia kwako tu
Hasara ganiMwenye hasara ni wewe mkuu, Mungu atakuwa amemuokoa.
Heri uwe mpole tu ili uendelee kukamua taraatiibuu.
Wanaume wote wangekuwa kama wewe mbona ingekuwa afadhali. Wanaolia kisa kodi ni wanaume surualiMwanaume kamili unaanzaje kulala na mwanamke kwake?hatakama unamlipia kodi bora ukajiachie hotel kama kwako mazingira magumu
Kweki eeeMapenzi siyo sex tu, iwapo tuko kwako tumejadili mengi yanayotuhusu with kutomasana na mlango umefungwa, hayo ni mapenzi hitimisho ni sex. Waliotuona twaingia kwako akili zao zimeamini tendo tumelitenda, why sex tuhame? Do not depreave acha jamaa akamatie chini tu.
HakikaKumbeee
Kama anakuja akakaa mda mwingi. Hao wengi. Nawaweka wapi dearMimi kwa kweli sioni tabu yoyote ya mpnz wangu nami kusex ndani kwangu au kwake,tabu inakuja kama una wengi kwako panakua kama danguro ila kama una mmoja kiroho safi
Ningekuwa sina mvuto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kila siku anafata niniKuna mawili, huna mvuto au kiarage kifupi. Kwanza we ni single usiwadanganye wenzio nmeshituka!
Mkuu.....Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.
Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.
Tutafanyia kwako tu
Inawezekana cha kupigia picha mkuuKuna mwanamke niliwahi kuwa naye Kama 1year ago, anapenda sex, gesti hataki wala hotelini.
Chumba nalipia kodi Mimi, sasa Huyu mtafanyia wapi mapenzi??
Akili za wanawake mnazijua wenyewe.
Usikute Huyu anayesema hivi chumba na kila Kitu kalipiwa na mwanaume.
Ndio Maana mnakimbiwa. Ninapokulipia chumba namaanisha hiyo ni nyumba niliyopanga nyingine kwa huduma zangu.
Sasa sijui wewe utakuwa umegeuza cha kupigia picha!! [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo sio mapezi ni kukomoanaMimi Nikikupangishia Sehemu Na Kitanda Nkakununulia Heheheheh! Dada Yangu, Abort Mission, I Repeat Abort Mission!Hadi Itafuka Moshi!