Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Bambii

Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
37
Reaction score
56
Wakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati.

Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika.

Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike.

Sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu
 
so unajuta. nyi wanawake nyie, sijui hata la kusema, ngoja tukushauri hivi siku moja wachukue wanao na baba yao, muende sehemu ya mbali kabisa, kama week hivi., look at ur kids/daughters wakicheza, mwangalie mmeo vizuri usoni, rudisha memory zako the day ali**uk mara ya kwanza, angalia malaika mlipata....anzia hapo kujifunza kumpenda.
 
Kwa nini kabla ya kukuoa ulivutiwa naye lakini baada ya ndoa huvutiwi naye?? Sababu kuu iko hapa kwa maelezo yako

Hakuna kitu kinachotokea pas na sababu ipp sababu naamini itafakari. Jitafakar na wewe pia

Kwa kukusaidia speak it out, mwambie vile we unapenda ufanyiwe, mwambie hivo ndio unapenda ongea itoke moyoni akusaidie maybe kuna vitu mwanzo vilikua vikifanyika sasa hivi havipo mnaishi kimazoea tu hali ambayo imejijenga tabia
 
1. nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say,

2. dada yangu alinambia , usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions"

Those are two fcuken reasons you have to stay with him and struggle by hooks and crooks to love him.

The same dada of yours will teach you how to love him, you know why...!!!! HE IS A ONE IN A MILLION.....

3. The besty last option ni kuiweka picha yake mitandaoni hasa FB na hapa JF halafu nadi anatafuta mchepuko na weka na namba zake za simu. Akifanikiwa kupata gumegume linalompikia ugali laini halafu anauremba kama taulo la kujifutia mikono na mboga anaziremba kama swimmingpool na garden ndo utatambua kama umewezaje kuishi nae muda wote huo wakati huna INTIMACY nae.

Ukifanikiwa hii last option, aidha utampenda milele au utaachana nae milele, then get prepared kuwa single parent au mseja for good.
 
Back
Top Bottom