Boss Man
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 458
- 991
Matumaini yangu wote ni wazima humu (Mungu ni mwema) hii mada itawalenga moja kwa moja Wasichana/Wanawake ila pia Mwanaume ukisoma utajifunza kitu
Asilimia kubwa ya wanawake wakitongozwa huwa wanahisi raha sana, hiyo feeling wanayojisikia haijalishi kwake kama kamkubali huyo Mwanaume au Kamkataa bila yeye kujua kitu gani kimesababisha yeye kutongozwa, unaweza sema ni uzuri sawa inawezekana ni uzuri wako ndio umemvutia Mwanaume hadi kukutongoza lakini labda nikwambie kitu pengine ulikuwa hujui, kama wewe ni Mwanamke na 'Unavutia' kitu kinachosababisha wewe kutongozwa mara kwa mara basi tatizo ndio linaanzia hapo
Kuna Mwanamke mwenye Magnetism na Mwanamke mwenye Attraction, mwenye attraction anavutia (havuti).
Kuna tofauti kati ya mtu anayevutia na mtu anayevuta, wanawake wengi waliopo Duniani sasa hivi wanajikita katika sector ya kuvutia badala ya kuvuta.
Gari linalovutia na gari linalovuta ni tofauti, Gari linalovuta kwa bomba distance inakuwa maintained (na mwenye mvuto ndio mwenye control) lakini linalovutia kwa kamba hana control (kamba hai-maintain distance) yeye anagongwagongwa vibaya vibaya maana yake hadhi hakuna.
Mvuto unatengeneza Vacuum yani mtu anayekuona kwa mbali anavutiwa akusogelee lakini hawezi kusogea kwasababu ya hadhi na heshima uliyonayo. Lakini kuvutia watu ni kwamba hakuna pressure katikati mtu anakutizama tu na anakuja na akija hakuna kinachokukinga kwasababu hadhi na heshima hakuna.
Watu wanadhani mvuto ni kuvutia tu, Mvuto ni Magnetism ni scientific power ambayo ipo obvious katika sayansi lakini ki-philosoph Magnetism (Mvuto) ni uwezo wa kukufanya uwe kama Star bila jitihada yani kusogelewa sio rahisi.
Mtu unatongozwa hovyo hovyo, hapo huna mvuto bali unavutia
Asilimia kubwa ya wanawake wakitongozwa huwa wanahisi raha sana, hiyo feeling wanayojisikia haijalishi kwake kama kamkubali huyo Mwanaume au Kamkataa bila yeye kujua kitu gani kimesababisha yeye kutongozwa, unaweza sema ni uzuri sawa inawezekana ni uzuri wako ndio umemvutia Mwanaume hadi kukutongoza lakini labda nikwambie kitu pengine ulikuwa hujui, kama wewe ni Mwanamke na 'Unavutia' kitu kinachosababisha wewe kutongozwa mara kwa mara basi tatizo ndio linaanzia hapo
Kuna Mwanamke mwenye Magnetism na Mwanamke mwenye Attraction, mwenye attraction anavutia (havuti).
Kuna tofauti kati ya mtu anayevutia na mtu anayevuta, wanawake wengi waliopo Duniani sasa hivi wanajikita katika sector ya kuvutia badala ya kuvuta.
Gari linalovutia na gari linalovuta ni tofauti, Gari linalovuta kwa bomba distance inakuwa maintained (na mwenye mvuto ndio mwenye control) lakini linalovutia kwa kamba hana control (kamba hai-maintain distance) yeye anagongwagongwa vibaya vibaya maana yake hadhi hakuna.
Mvuto unatengeneza Vacuum yani mtu anayekuona kwa mbali anavutiwa akusogelee lakini hawezi kusogea kwasababu ya hadhi na heshima uliyonayo. Lakini kuvutia watu ni kwamba hakuna pressure katikati mtu anakutizama tu na anakuja na akija hakuna kinachokukinga kwasababu hadhi na heshima hakuna.
Watu wanadhani mvuto ni kuvutia tu, Mvuto ni Magnetism ni scientific power ambayo ipo obvious katika sayansi lakini ki-philosoph Magnetism (Mvuto) ni uwezo wa kukufanya uwe kama Star bila jitihada yani kusogelewa sio rahisi.
Mtu unatongozwa hovyo hovyo, hapo huna mvuto bali unavutia
