Mwanamke usimdanganye mumeo hujazaa!

I second that.
Ila swala la kusema wazazi wawafundishe watoto wao kuwa wakweli wakati wengi wao ndo hua wanasuggest iwe siri (kuogopa aibu) sidhani kama inawezekana.Sema watu wajifunze kuwa wawazi, there is nothing wrong about a child that was born before you mate your partner, usimfanye huyo mtoto ajihisi hana thamani au hafai.Sio haki kwake wala kwa huyo unayemuoa/olewa nae.
 
Ni kweli Lizy hao wadada wengi tu wanazaa wakiwa teenagers, say form two. Anayewafanya wafanye siri ni wazazi. Akili yao inawatuma kuwa mtoto wao akijulikana kuwa amezalia nyumbani atakosa mume au anavunja heshima ya familia. Kosa mara nyingi ni la wazazi.

 
Tuwekane wazi ni kabila gani hilo?

nahisi na warangi wana hako katabia....


Mhhhhhhhhhh! naamini kwamba ukiona kwako kunafuka moshi ujue kwa mwenzio kunaungua. Ktk siku zote nona leo madam umefunguka haswaaaaaaaaa!
 
wewe mwanamke hakika ubarikiwe wewe na uzao wako, naona unaielewa vema jamii yako ya ki tz
 

Ila warangi wajameni........ya kweli hayo SL??? Mbona mi sijawahi kuona wala kusikia, ngoja leo nimdadisi mama yangu! Ila mi nawafahamu wadada watatu kutoka makabila tofauti tofauti, mmoja huwa anaenda kwa siri kumsabahi mwanae, mwingine walishirikiana mama na mtoto mtu kumficha mchumba ili asijue, na wa tatu hivo hivo hadi akawa anauliza aanzie wapi kumueleza mumewe coz alihisi kama kimesanuka!!
 
kwa hiyo uyo jamaa alikuwa akiishi kwa mwanamke? maana umesema alifungasha kurud dar
 

kuna ukweli hapo.
 

we acha tu ndugu yangu huu mchezo haufai kabisa! Hapo mtu akigoma ni kubebeshwa mizigo ya lawama na kuitwa ana roho mbaya! Basi tu kwa sababu watoto hawana kosa unaweza kuwapokea japo na maswali mengi kichwani. Hata kama ukimwambia awakusanye wote awalete, bado utabaki na wasiwasi wa idadi kuongezeka. Dah.......
 
Hakuna mtu anayempenda mtu muongo,leave aside awe ndo mwenza wako wa maisha. Maana utajiuliza mengi sana mfano ni mangapi mengine aloficha.

Upendo hauko hivyo,unapoanza kuweka masharti unakua umetoka kwenye upendo tayari.Kwanini ujiulize kama umedaeganywa mengine?Wanadam tunapenda kuwazia mabaya tu,kwanini usiwaze ni hilo tu amekudanganya?
 
Upendo hauko hivyo,unapoanza kuweka masharti unakua umetoka kwenye upendo tayari.Kwanini ujiulize kama umedaeganywa mengine?Wanadam tunapenda kuwazia mabaya tu,kwanini usiwaze ni hilo tu amekudanganya?
Kupenda hakutakiwi kumfanya mtu mjinga.

Na swala la kuwazia mabaya linaletwa na hiyo siri/uongo ambao ni mkubwa kuliko. Mtu kumkana mtoto wake mwenyewe na kujifanya sio wake sio jambo la mchezo hata kidogo. Yani katika vitu ambavyo mtu anaweza/ruhusiwa kuficha akiwa kwenye mahusiano hicho sio kimoja wapo.
 
Kuhusu watu wa Singida sina data; ila Wahaya ngoja niwatetee.

Wahaya kuzalia nyumbani ni bonge la nuksi kwa familia, na ndio maana ni very rare kukuta binti wa kihaya kazaa bila kuolewa. Na hii inawahusu hata watoto wa kiume. Kijana haruhusiwi kuoa binti alokwisha zaa kama first wife; yaani unachekwa kabisa ukioa binti mwenye mtoto na wazazi na ukoo wanaweza wakasusia harusi.

Hilo la kuficha mtoto ulozaa sijawahi sikia kwani kwanza wahaya wanachunguza saana kabla ya kuoa hivyo watakushika tu.

Hao kundi la pili ndio zao sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…