Mwanamke usipoolewa ni aibu

Mwanamke usipoolewa ni aibu

Just go on. Its a FREE platform.

Trust me waowaji wapo wengi sana tena vijana wengi tu potential wanaonjitambua na kujielewa. Issue wadada wengi wako soo much into material things. They live in this fantasy world that they deserve some guy with money, class and properties au atleast kwao wako vizuri hoping the family wealth will be passed on foward. Unfortunately sumtyms all that glitters ain't Gold.

Wealth, prosperity and happinness all starts in the mind ONLY when the two of you have a strong bond binded by Loyalty and True Love from there positive outcomes are always guranteed.

Hakuna mwanamme mkorofi kwa mwanammke mnyenyekevu. HAKUNA !!


Sent from Letchworth Garden City, Hertfordshire. UK
Aki can u pm me please nimekupenda bure something is so interested over u men
 
Ni kweli, mwanamke jitahidi uolewe kabla hujafika 32(maximum age). Baada ya hapo ni aibu kweli. Aibu yakutokuolewa ni mbaya sana.

Nawaombea kwa Mungu wanawake wote muolewe on time.
Acha kuwasababishia kimuhemuhe bure. Sijui umri wako, lakini ukijaliwa ukafika angalao miaka 50 ukafanya rejea kuhusu wanawake uliowafahamu enzi za ujana wenye tabia nzuri sana utakuta bado watakuwepo ambao hawakuolewa. Wazuri tu. Na hawana kosa lolote, wala chochote cha kuonea aibu.
Na ninakuhakikishia kibao kingegeuka ikawa wanaume ndio tunaopaswa kuolewa na wanawake, yangetupata hayahaya.
 
Acha kuwasababishia kimuhemuhe bure. Sijui umri wako, lakini ukijaliwa ukafika angalao miaka 50 ukafanya rejea kuhusu wanawake uliowafahamu enzi za ujana wenye tabia nzuri sana utakuta bado watakuwepo ambao hawakuolewa. Wazuri tu. Na hawana kosa lolote, wala chochote cha kuonea aibu.
Na ninakuhakikishia kibao kingegeuka ikawa wanaume ndio tunaopaswa kuolewa na wanawake, yangetupata hayahaya.
Aisee
 
Ili iweje? Ni kama vile mnatafuta wafanyakazi kwenye nyumba zenu. Na nyie ndio mnasababisha ndoa ziwe na matatizo kwa hizi kauli zenu. Binti anaamua aolewe kisa tu atapata aibu.
Kama mnaingia kwenye ndoa kwa kuona aibu na fashion..myfriend mna matatizo sana. Ndo maana ndoa zimekosa thamani maana hata wasiofaa kuoa au kuolewa wapo..
Demi let's be honest...mimi ni mwanaume sijaoa na kuoa hakuko kwenye mipango yangu kabisaa kwa sasa...na Nina miaka 32

Katika ibada huwa namuomba Mungu sana wepesi vyuma vilainike kiuchumi

Ila nyie Dada zetu wengi wenu tena sana huwa mnajitokeza kuomba wame...mnawatamani sana...je tufiche kusema huwa haiwaumizi kweli kutokuolewa..???
Mnatudanganya hapa na western ways za kujiconsole...lakini mkiingia chumbani peke yenu mnaanza kulia tena
 
Nimeolewa na watoto 2 juu, ila sioni ubaya wala aibu kwa mtu wa miaka 30 kutoolewa.
Tuna brush tuu hapa dada na wewe unajua...mara baada ya masomo au kukomaa wengi wenu mnalia sana kuolewa
Nenda kwenye nyumba za ibada kajionee...yaani yakitoka matatizo ya mapepo ni kuwa na Mme
Kwa waganga wanawake mnaongoza kutushinda...mmekuwa wateja wazuri...case ni wanaume
Leo tukwepe kusema ingawa sio vizuri kushutumu kuwa wanawake hawajisikii vizuri wanapokosa Mme
The point is...mwanamke ana link ya moja kwa moja na familia hata kibiolojia...yaani hamu ya kuwa na mtoto...lakini hupenda iwe formal zaidi kwa maana ya familia kamili ya baba na mama...hapo demand ya mume huja...
Ndo maana hadi wengine mmekubali kuolewa kama mke wa pili au ndoa za mitaala nk
Its hard to avoid nature though we could icesuger it with illogical western morals which are even far way applicable in our societies
 
Wasichana wa kitzkuolewa ni ambition!
Wanaiga but later when ts now over cut of time...ukweli huwa unajitokeza then wanaanza kwenda kwenye nyumba za ibada eti kuvunja pepo linaloharibu mahusiano yao...kwamba kila akipata mtu anakaa nae kidogo halafu anamwacha...my friend we at this age of 35 plus...kweli kwenye wanaume kumi wote watakuja na nia ya kukuoa wakati akiachana na wewe anakutana na hot was age 22 au 23 kwanini asikukimbie
 
Huwa kuna kitu sielewi kwani miaka 30 ina nini? Maana mnapenda sana kuwasema wadada walio na hiyo miaka

Ukiwa na miaka 30 ujaolewa kuna tatizo gani yaan huwa nawaza sielewi, yaani kisa umefika miaka 30 ujaolewa uanze kuona aibu?



Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu ni pale UNAPOENDELEA kufunuliwa CHUPI na vijana wadogo....maana mwanamke ambaye hajaolewa ni kama HANA NGUO....ndoa ni SITARA..ndoa ni sawa na KUVAA NGUO..
 
Aibu ni pale UNAPOENDELEA kufunuliwa CHUPI na vijana wadogo....maana mwanamke ambaye hajaolewa ni kama HANA NGUO....ndoa ni SITARA..ndoa ni sawa na KUVAA NGUO..
SITARA ndiyo nini? Kama mwanaume mwenyewe ndiyo wewe hata kuandika ni changamoto ni bora wasiolewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom