Nawaza, una muonekano mzuri, sikuachi. Nitakomaa na wewe
Wawafanyaje sasa wanaume ili wawaoe?maana shida ni wanaume kugoma kuoa,kuoa mwanamke mmoja,na kingine ni wanawake nao wakishaolewa kuwazuia wanaume wao wasiongeze wake wengine ili wabakie wao tu,mi naona hapa ndipo shida inapoanzia...nahamasisha wanawake waolewe mapema
Nawaza, una muonekano mzuri, sikuachi. Nitakomaa na wewe
Unajisingizia ubibi, mi hiyo habari sina, hauwezi kuwa mbibi. Nakuja, na uwe tayari kunipokea.mim ni kibibi tayari nna watoto watano achana na mimi
🤣🤣🤣🤣Usipoolewa mwanamke ni ishara kwa jamii kua ulikuwa kicheche, hata ujifanye mtakatifu huko ukubwani ila haujaolewa basi watu watajua tu ulikuwa kipoozeo cha mashine.
Asipoolewa mapema mpaka anafika 30s kuna shida hapoIli iweje? Ni kama vile mnatafuta wafanyakazi kwenye nyumba zenu. Na nyie ndio mnasababisha ndoa ziwe na matatizo kwa hizi kauli zenu. Binti anaamua aolewe kisa tu atapata aibu.
Kama mnaingia kwenye ndoa kwa kuona aibu na fashion..myfriend mna matatizo sana. Ndo maana ndoa zimekosa thamani maana hata wasiofaa kuoa au kuolewa wapo..
SI KWELIDah aisee. Wanaoingia kwenye ndoa kwa kuangalia umri nawaonea huruma sana maana wataenda kuboronga lazima. Kila la kheri kwao!
🤣🤣🤣Ukifika hapo bila bila ujue uzee unakunyemelea na brand yako inaanza kupoteza soko. Hapo kuolewa ni majaliwa na ndiyo maana wengi katika age hiyo huwa hawabagui sana wanaume. Huwezi kusikia tena.. Oooh.. awe handsome,,, maji yakunde sijui shombe, mara mrefu 6.5ft etc etc... Ikifika 40 ndo kabisa hata 2.2ft anakubalika...
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Kumbe wewe ndiye msomali wangu na Nyani Ngabu ! Cc muhamim ni kibibi tayari nna watoto watano achana na mimi
Hakuna mwanamke asiyependa kuolewaWengi hawataki kuolewa siku hizi
Unachoongea sio reality. Idadi ya wanaume duniani ni kama 3/4 tu ya wanawake wote duniani. Kwa vyovyote vile haiwezekani wote kuolewa. Hiyo aibu inatoka wapi wakati uwiano haukubali naturally? Hiyo aibu iko kichwani mwako tu.Ni kweli, mwanamke jitahidi uolewe kabla hujafika 32(maximum age). Baada ya hapo ni aibu kweli. Aibu yakutokuolewa ni mbaya sana.
Nawaombea kwa Mungu wanawake wote muolewe on time.
💯🤝Wadada wa miaka 30,Bila ndoa wanakuwa wametumika sana
Sawa mkuu, ni mawazo yangu ya kipindi hiko cha nyuma sanaUnachoongea sio reality. Idadi ya wanaume duniani ni kama 3/4 tu ya wanawake wote duniani. Kwa vyovyote vile haiwezekani wote kuolewa. Hiyo aibu inatoka wapi wakati uwiano haukubali naturally? Hiyo aibu iko kichwani mwako tu.
SI KWELIWengine wanataka kuwa huru, hawataki kuolewa.
NAKAZIACha msingi Dada zangu hasa mlio chuo,usifikirie assignments tuu...anza kumtafuta baba wa watoto wako sasa hivi,sisemi uanze kutongoza nooo...
Anza kujibrand kama potential good wife,potential good husbands watakuja na Muombe Mungu atakuonesha your Mr Right
Hao wanajifariji tu baada ya kukosa kuolewaFanya utafiti, wapo wasiotaka kuolewa, wanatafuta tu mbegu nzuri, anamtunza mtoto mwenyewe.