Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nadhani shida ni kwa nyie watazamaji.Asipoolewa mapema mpaka anafika 30s kuna shida hapo
Wapo wanawake nawafahamu waliamua hawaolewi na wanaishi bila tatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani shida ni kwa nyie watazamaji.Asipoolewa mapema mpaka anafika 30s kuna shida hapo
SI KWELINadhani shida ni kwa nyie watazamaji.
Wapo wanawake nawafahamu waliamua hawaolewi na wanaishi bila tatizo.
Hao sio watu ni punda ?Hao usiwazungumzie
Hii sentensi ulipaswa kuiandika mwanzoni kabisa wa uzi wako.Sawa, kupanga ni kuchagua.
Ambao ameamua mwenyewe kuwepo kwa hiari yake?Ni special case.
Yuko chini ya utaratibu.
Nadhani shida ni kwa nyie watazamaji.
Wapo wanawake nawafahamu waliamua hawaolewi na wanaishi bila tatizo.
Kuoa mwanamke over 30 ni Sawa na kununuwa gazeti la asubuhi jioni..Huwa kuna kitu sielewi kwani miaka 30 ina nini? Maana mnapenda sana kuwasema wadada walio na hiyo miaka
Ukiwa na miaka 30 ujaolewa kuna tatizo gani yaan huwa nawaza sielewi, yaani kisa umefika miaka 30 ujaolewa uanze kuona aibu?
Gazeti linakuwa na soko asubuhi na sio usiku.Kwa nini iwe aibu hebu dadavua! Justify!
Jamii yetu ya kiafrika tuna shida sana.Hapo ndio ushangae Sasa, unampangiaje mtu maisha?
Mwenye maamuzi ya mahusiano kuwa ndoa ni mwanamke, mwanaume yeye anasema tu 'Tuoane/Sikuoi' baada ya mwanamke kuamua kwa vitendo.Mwenye maamuzi ya ndoa ni mwanaume sasa iweje mwanamke asipoolewa anatupiwa lawama na kashfa za kila aina.
Gavana wa Arizona, State ya US, ni mwanamke anaitwa Janet Napolitano. Ana miaka 60 sasa. Hana mume, hana mtoto na hajawahi kuolewa.
Alikuwa Waziri katika serikali ya Obama. Watu wanamsifia sana kwamba anapiga kazi kichizi. Labda anapiga kazi kichizi kwa sababu hana distractions za mume wala mtoto na kazi anazofanya zinaweza kuwa zinaenda vizuri zaidi kama hana mume wala mtoto kwake yeye.
Kukosa kuolewa kwake hakujawahi kumfanya asiheshimike. Kwa sababu jamii yake inaelewa kwamba kukosa kuolewa si jambo la aibu na kunaweza kutokana na sababu tofauti.
Ni huko kwetu tu umasikini na ukosefu wa elimu unatusumbua.
Ni bora mwanamke kuishi bila mume kuliko kukubali kuolewa kwa pressure za jamii halafu akaishia kwenye ndoa isiyoisha migogoro.
Janet Napolitano - Wikipedia