Mwanamke usipoolewa ni aibu

Mwanamke usipoolewa ni aibu

Huwa kuna kitu sielewi kwani miaka 30 ina nini? Maana mnapenda sana kuwasema wadada walio na hiyo miaka

Ukiwa na miaka 30 ujaolewa kuna tatizo gani yaan huwa nawaza sielewi, yaani kisa umefika miaka 30 ujaolewa uanze kuona aibu?
Kuoa mwanamke over 30 ni Sawa na kununuwa gazeti la asubuhi jioni..

Wenzio washashasoma habari zote asubuhi,,[emoji23][emoji23]
 
Mwenye maamuzi ya ndoa ni mwanaume sasa iweje mwanamke asipoolewa anatupiwa lawama na kashfa za kila aina.
Mwenye maamuzi ya mahusiano kuwa ndoa ni mwanamke, mwanaume yeye anasema tu 'Tuoane/Sikuoi' baada ya mwanamke kuamua kwa vitendo.

Technically, ukiona umefika umri mkubwa haukufanya maamuzi ya kuolewa kwa vitendo ukiwa umri wa kuolewa Mfano ulikuwa huna heshima na wapenzi zako, malaya, urafiki na wanaume, mpenda anasa, mchafu na matendo yoote ambayo wanaume uliokuwanao wakasema basi SIOI HAPA NAPITA TU.

Mwanamke anayejielewa anahitaji kuwa anaonekanika tu sio uzuri bali kuwa anaangalika kinachofuata ni Tacts/vitabia vidogo tu atavuta mijanaume mi Husband Materials hata kutoka wapi huko....So mwenye 30+ Hana excuse zozote alizingua.
 
Gavana wa Arizona, State ya US, ni mwanamke anaitwa Janet Napolitano. Ana miaka 60 sasa. Hana mume, hana mtoto na hajawahi kuolewa.

Alikuwa Waziri katika serikali ya Obama. Watu wanamsifia sana kwamba anapiga kazi kichizi. Labda anapiga kazi kichizi kwa sababu hana distractions za mume wala mtoto na kazi anazofanya zinaweza kuwa zinaenda vizuri zaidi kama hana mume wala mtoto kwake yeye.

Kukosa kuolewa kwake hakujawahi kumfanya asiheshimike. Kwa sababu jamii yake inaelewa kwamba kukosa kuolewa si jambo la aibu na kunaweza kutokana na sababu tofauti.

Ni huko kwetu tu umasikini na ukosefu wa elimu unatusumbua.

Ni bora mwanamke kuishi bila mume kuliko kukubali kuolewa kwa pressure za jamii halafu akaishia kwenye ndoa isiyoisha migogoro.

Janet Napolitano - Wikipedia

Uyo ni lesbian usitishwe na cheo there’s must be other side of the story changa karata zako vizuri duniani lengo kuu la kila mwanadamu ni kua na familia yake mwenyewe either kwakuwai au kuchelewa so kama umri unasonga na hujafanyikisha ilo swala lazima utaanza kuona red flags [emoji626] zina click kichwani mwako be wise
 
Back
Top Bottom