Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Wewe umekuwa msemaji wa wanawake wote duniani ?Ndugu wanawake kuolewa ni ndoto yao yaani hilo halipingiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umekuwa msemaji wa wanawake wote duniani ?Ndugu wanawake kuolewa ni ndoto yao yaani hilo halipingiki
Achana na watawa wale ni chakula cha mapadre. Halafu wako katika kazi maalumu hilo kundi ni maalumuKama unafikiri ndoto ya kila mwanamke ni kuolewa basi kanisa katoliki lingefunga mashirika yake yote ya utawa maana wasingepata wanawake wa kuwapokea. Dunia yote haipo hivyo unavyo amini wewe
Hakuna point hapa zaidi ya kujitetea[emoji848]Nyie ndio mnawapa pressure kwa maneno yenu yanayowadhihaki. Kuolewa kwa kulazimisha lazima ilete matatizo, km mtu hataki kuolewa muache ht km ana miaka 40 ndio maamuzi yake, kuliko aolewe aboronge na amtese mume.
Why mnawapa pressure wasichana?
Na kuna nini hasa huko kweye ndoa mpaka muwalazimishe kuingia?
Umeona sasa ulivyo mpuuzi wakati wanaliwa na mafather wewe ulikuwa unawashika miguu yao ili waliwe vizuri halafu hapa tuna zungumzia ndoa au kulana ?Achana na watawa wale ni chakula cha mapadre. Halafu wako katika kazi maalumu hilo kundi ni maalumu
Una dada au ndugu za kike au bimkubwa siki waulize utapata majibuWewe umekuwa msemaji wa wanawake wote duniani ?
Hii ni kwa jamii nyingi za kiafrika na some asians, huko ulaya Kuna maisha mengine. mdada, Kuna kitu kinaitwa " woke culture" , ndio tunajaribu kuiiga kutoka western civilization, na imeshaanza ku back- fire. Fuatilia world trends in social lifestyles utaona, kuanzia failure in parenting styles na social interactions. Hizi ni researches katika uwanda wa psychology and life styles trends sio vague personal opinions.Sio wote duniani wapo hivyo ulivyo eleza
Nina ndugu yangu dada yake na shangazi yangu upande wa baba mpaka ana kufa alikataa kuolewa katu katu hiyo miaka ya 1980s-1990s.Una dada au ndugu za kike au bimkubwa siki waulize utapata majibu
Haohao mafather ni sawa tuUmeona sasa ulivyo mpuuzi wakati wanaliwa na mafather wewe ulikuwa unawashika miguu yao ili waliwe vizuri halafu hapa tuna zungumzia ndoa au kulana ?
Sema alikosa mume mkuuNina ndugu yangu dada yake na shangazi yangu upande wa baba mpaka ana kufa alikataa kuolewa katu katu hiyo miaka ya 1980s-1990s.
Hata hao wanawake wa kizungu wanapenda kuolewa achana na mafenistsHii ni kwa jamii nyingi za kiafrika na some asians, huko ulaya Kuna maisha mengine
Mashirika ya wakatoliki yangefungwa yote duniani kama unafikiri dunia ipo hivyo unavyo fikiri wewe. Dunia nzima haiwezi kuwa mchana kote weka kichwani hiyo, maisha haya fanani baina ya mtu na mtu ulivyo wewe ni tofauti na nilivyo mimi.Hii ni kwa jamii nyingi za kiafrika na some asians, huko ulaya Kuna maisha mengine. mdada, Kuna kitu kinaitwa " woke culture" , ndio tunajaribu kuiiga kutoka western civilization, na imeshaanza ku back- fire. Fuatilia world trends in social lifestyles utaona, kuanzia failure in parenting styles na social interactions. Hizi ni researches katika uwanda wa psychology and life styles trends sio vague personal opinions.
Tatizo watu wengi tunaishi in denials, ukiwa mtu mzima haijalishi whether ni mwanamke au mwanaume, majuto yanakuja. This is nature, you cannot fight with nature.
Kwa mwanaume vigezo havibadiliki ni hivyo hivyo mpaka Dunia itakapoisha.
Sent from my Infinix X6820 using JamiiForums mobile app
Unaelewa maana ya maneno "kukataa katu katu" na akaona isiwe tabu akaenda kuanzisha maisha yake licha ya familia kumshangaa kama wewe unavyo fanya sasa kuamini haiwezekani.Sema alikosa mume mkuu
Huyo alikosa mumeUnaelewa maana ya maneno "kukataa katu katu" na akaona isiwe tabu akaenda kuanzisha maisha yake licha ya familia kumshangaa kama wewe unavyo fanya sasa kuamini haiwezekani.
Tatizo lilipo Afrika jamii bado inaamini katika "collectivism" ya kipuuzi hata katika maisha binafsi ya mtu yasiyo na athari yoyote kwa mtu hao watu weupe hasa western ni waumini wa "individualism".Hata hao wanawake wa kizungu wanapenda kuolewa achana na mafenists
Utaongea lugha zote lakini ukweli ndio huoTatizo lilipo Afrika jamii bado inaamini katika "collectivism" ya kipuuzi hata katika maisha binafsi ya mtu yasiyo na athari yoyote kwa mtu hao watu weupe hasa western ni waumini wa "individualism".
Poa wacha nikuache na hiyo imani yako lakini kwa sababu dunia inazunguka wenda utakuja kutana hiki kisa cha namna hiyo.Huyo alikosa mume
PoaUtaongea lugha zote lakini ukweli ndio huo
Poa
Upuuzi tu it doesn't matter hata 40 mtu anaolewa tu. Tusiwafanye watu wajisikue vibaya.Huwa kuna kitu sielewi kwani miaka 30 ina nini? Maana mnapenda sana kuwasema wadada walio na hiyo miaka
Ukiwa na miaka 30 ujaolewa kuna tatizo gani yaan huwa nawaza sielewi, yaani kisa umefika miaka 30 ujaolewa uanze kuona aibu?
Hiyo miaka 35 awe tayari katika ndoa anendeleza uzao sio kutafuta mumeUpuuzi tu it doesn't matter hata 40 mtu anaolewa tu. Tusiwafanye watu wajisikue vibaya.
N.b. miaka 22-35 ni kipindi bora Cha kuzaa Kwa mwanamke.