Mwanamke usipoolewa ni aibu

Dah aisee. Wanaoingia kwenye ndoa kwa kuangalia umri nawaonea huruma sana maana wataenda kuboronga lazima. Kila la kheri kwao!
 
shem darling fanya fanya basi jamani, au unataka niendelee kuaibika mwenzio?
 
kuna mmoja anaelekea 32 mie nipo below yeye namfukuzia amenikataa
 
Mwe!kuna jukwaa lawakubwa kumbe!na ww upo!huhu! nimecheka sana yule dada kichwa gas kbs aic! ht ule wa mbalizi siuon eti! hahhah shoga ukakosa maneno hahahah nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hulijui hilo jukwaa?? Bado mtoto subiri ukuekue
 
Mwe!kuna jukwaa lawakubwa kumbe!na ww upo!huhu! nimecheka sana yule dada kichwa gas kbs aic! ht ule wa mbalizi siuon eti! hahhah shoga ukakosa maneno hahahah nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Vivuruge uzi gani tena? mweeh
Ha haaa wivu wa nini jamaniii? Wangeuhamishia jukwaa la wakubwa ingenoga zaidi
 
Ukifika hapo bila bila ujue uzee unakunyemelea na brand yako inaanza kupoteza soko. Hapo kuolewa ni majaliwa na ndiyo maana wengi katika age hiyo huwa hawabagui sana wanaume. Huwezi kusikia tena.. Oooh.. awe handsome,,, maji yakunde sijui shombe, mara mrefu 6.5ft etc etc... Ikifika 40 ndo kabisa hata 2.2ft anakubalika...

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…