Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Wewe utaishi milele? hata wewe ukifa rafiki zako bado watasema too earlymkichepuka nyie ni nature..
tukichepuka siye ni malaya..
ndo mana mnakufa haraka ...idiot
Nashauri Biblia ifanyiwe marekebisho na kuongezwa Sentesi kama hizi ili Ndoa ziwe zinadumuBaba Mtakatifu (Papa) juzi ndo alitupiga Wakatoliki kwa kitu chenye ncha kali kichwani eti kuzini ukiwa ndani ya ndoa siyo dhambi kubwa.
KoromijeMnara wako tukujengee wapi Dodoma au Chattle?
Katika kitu ambacho siamini saivi ni mchepuko dahMichepuko mingi haipo after mapenzi ya dhati na kuridhishwa sijui nini!
Michepuko mingi yenyewe ipo after fedha [emoji108][emoji108] [emoji385][emoji389][emoji389][emoji383]
Ni michepuko wachache sana ambao huwa na mapenzi ya kweli na ya dhati.
Sikatai wapo lakini wachache.
Na in the first place kuweza kujua kama huo mchepuko una mapenzi ya dhati kigezo cha kwanza ni kutohitaji fedha.
Halafu added advantage ya mchepuko wa kike usiohitaji pesa ni kuwa hata kwenye mambo ya uchawi na ushirikina huwa hawanaga habari nayo kabisa.
Sasa kwa wale michepuko wapenda hela na wasio na kazi ushirikina na uchawi kwao ni inevitably wakiamini kumshika Mwanaume asiponyoke akastuka na kurudi kwa mkewe au kutafuta mwanamke mwingine!
Asante sana!! NakaziaWala wanawake hawana presha na kuchepuka kwenu siku hizi....
Wao wenyewe wanachepuka.
Nani hataki raha ya penzi jipya?
Nani hataki mashamsham ya mcheps?
Kuna vijana wanasimamia kucha aisee na kunyonga viuno kama feni mbovu!!!!
Kwa hiyo mnywe maji mengi tu na muendelee kuchepuka.....
Mume akichepuka kushoto...mke anachepuka kulia ...mnarudi nyumbani wepesiiiiii
Afterall haiachi alama!!!
Wala haiishi!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi huu ufahamu wa kishetani aliwapaga nani ???
Nani alikuambia kila mwanaume lazima achepuke kama wewe rafiki zako ndugu zako na watu wanaokuzunguka wanachepuka ni hao usije na conclusion zako kutokana na circle yako na stori unazisikia
Msimamo wangu ni huu mwanaume ambaye hana hofu ya MUNGU (mahusiano na Mungu binafsi) huyo kuchepuka ni lazima wala sio hiari ,mwanaume mwenye hofu na MUNGU kamwe hawezi chepuka haijalishi nini
Note:Sijasema wanaoenda kanisani au walokole au wasabato ni wenye hofu ya MUNGU maana unaweza kulala garage usiamke gari.
Period
Kuna Mchungaji fulani aliwahi kusema amekuwa akikutana na wanawake wa ndoa ambao wamekuwa kwenye migogoro ya ndoa na waume zao ya mara kwa mara .
Akasema amekuja kuona wanawake wengi kwenye ndoa wanapoona mambo yamezidi sababu ya Umalaya wa wanaume zao huamua kumuomba Mwenyezi Mungu awachukue wanaume wao wa ndoa.
Imagine [emoji848][emoji848]
Sasa kama inafika hapo si bora watu waachane ili kila mtu awe huru na maisha yake?
Kuliko kung’ang’ania kuishi pamoja kwa ku-pretend na unafiki ili hali moyoni mwa mwanamke kuna chuki na sononi sababu ya Umalaya wa mume wake!
Yeah!Hiki kitu ni sahihi, wanawake wana wivu sana kushinda wanaume, kwa hiyo huwa wanaumia na kujenga chuki kubwa sana, ukiugua anaweza akakumalizia tu😀
Nilishuhudia sehemu mke anaficha dawa za mume wake aliyekuwa anaumwa sana, Jamaa alifariki dunia., mke alikuwa na chuki sababu jamaa alioa wake wengi.
Kwahiyo KUCHEPUKA HALALI??‽ Bora WAKACHEPUKE WOTE TUUUUUMwanamke elewa kuwa asili ya mwanaume ni udume ambao anahitaji atawale dunia kwa kila kitu. Wanyama na ndege pia viumbe vya kiume hutawala species zao.
Kwa hiyo basi fanya ufanyalo mwanaume lazima achepuke, hata umlambe makunyanga yake lazima achepuke, hii siyo tabia ni nature ya viumbe vya kiume. Kuna mdada alimuacha mume wake akimtuhumu kuwa anachepuka, baada ya miaka miwili akaolewa na mwanaume mwingine ambaye sasa alikuwa anachepuka mpaka anahama mji.
Akaachika na kuolewa kwa mwanaume mwingine ambaye kila mwezi lazima amlete barmaid nyumbani na kumuamrisha mke wake awapikie. Baada ya kupitia mitanange miwili amerudi kwa mume wa kwanza anamsihi warudiane lakini jamaa anakataa na harusi inakaribia.
Mwanamke baada ya kuona jamaa hamuelewi anaanza kumtishia kumroga na binti bibi harus mtarajiwa. Enyi wanawake tulieni kwenye ndoa zenu, kuchepuka ni nature ya wanaume.
mngekunywa maji mengi mkajipiga kifuani kutuliza uchungu......Siku hizi hata wanawake ni wakali wa hizo mambo haswa wale wamama wa nyumbani wenye shughuli zao binafsi...
washakutengenezA eehKatika kitu ambacho siamini saivi ni mchepuko dah
yaani wanaume mngejua jinsi mlivyotubadilisha siku hizimngekunywa maji mengi mkajipiga kifuani kutuliza uchungu......