Mwanamke wa aina gani anafaa kuwa naye kwenye mahusiano?

Mwanamke wa aina gani anafaa kuwa naye kwenye mahusiano?

Ningekuwa wewe ningezingatia yafwatayo;

1. Je, ananipenda kweli au ananipendea hela zangu? Hapa nitafanya uchunguzi binafsi ikiwepo kumpitisha kwenye ukata wa kujitakia pamoja na ubaili tu wa makusudi ili nione atafanyaje.

2. Je, anamtazamo gani wa maisha ya kifamilia husuani kesho? Ni mtu ambaye kwake burudani na furaha za ujana ni muhimu kuliko kesho? Kwamba viwanja, shghuli na shosti zake ni muhimu kuliko kesho?

3. Anapenda kujishughulisha kiuchumi au ni wewe tu ndo mwenye kuleta hadi chumvi huku yeye akinenepesha chura? Kwamba atakusubiri mpaka urudi ndo utoe hela ulizopata kwenye mihangaiko ndo aanze kuandaa chakula?

4. Mtazamo wake kuhusu ndugu zako ni upi? Je anaonekana kuwa mtu ambaye ataiunganisha familia au atakutenganisha na ndugu?

5. Je, kuna vitu ambavyo mnawaza kwa kufanana au mnakubaliana? Hapa ni maadili na misingi za kifamilia labda namna mtakavyolea watoto na kuishi ndani.

6. Wewe mwenyewe unamuonaje? Ni mtu anayestahili heshima yako?

7. Vipi katika kutafuta wakati wa ugomvi, ni mtu wa namna gani? Anatumia njia zipi kufikisha ujumbe hususani anapokuwa ameghafirika na je anatumia njia gani kutatua mgogoro?


Ndoa ni zaidi ya mbususu.
Ahsante sana brother
 
Jifunze kuwa na furaha binafsi kabla ya kuwa na mahusiano na mtu yeyote kwanza, maana ukitegemea yeye ndio akupe furaha atamtesa kwasababu wewe mwenyewe hauna furaha binafsi.
Jipende, jithamini, jishughulishe ili uwezo kujua thamani yako na mtu yeyote asikupelekeshe.

Nahisi swali ulitakiwa useme vigezo gani ni vya msingi kuviangalia wakati wa kutafuta mke.
1.Mara nyingi Mungu atakupa wakufanana nae
Mfano:
Kuna jamaa wetu alitoka kwenye engagement yake akapita sehemu kununua malaya acha akutane na yule mdada aliyetoka kumu engage.
Huwezi taka kupata mume mwema wakati wewe ni muovu. Jisafishe matendo yako

2.Hofu ya Mungu, simaanishi awe ameshika dini sana, sema awe muoga wa kufanya mabaya, akifanya mabaya roho inamsuta , mkiwa mapitia shida ata sali na wewe na kutokukimbia, ukiweza kumpata wa hivi basi utakua umefaidika maana atakua mke mzuri, mlezi mzuri wa watoto wako pia mkwe mzuri kwa wazazi na ndugu zako.

3. Muelewa ila mkali
Muelewa kwamba akupe uhuru wak ila awe mkali kukemea upuuzi wako, basi atakufanya uwe na maendeleo.

Kuuliza sio ujinga ndugu yangu especially kwenye maswala ya msingi kama haya, ukikosea kuoa umefeli maisha.
 
Mwanamke ambaye anaweza kuyaishi mazingira ya mke bila kuwa msumbufu ndio anafaa huyo
Dah...we jamaa unakula ban kila wiki[emoji23][emoji23] huwa unafanyaje unakula ban za namna hii mzee?
 
Vijana mliozaliwa kuanzia 95-2005 inabidi muuawe tu maana hamna manufaa kwa jamii. Nini kazi ya kichwa kama hakikusaidii kwenye kufikiria na kufanya maamuzi yako binafsi?🚶🚶🚶

Mbona imekuwa ghafla hivi, looh! Hatujajiandaa mkuu.🤪

Lkn fresh tuueni 😎
 
Kaka kunanyingine zina umrimkubwa lakini Hazija zeheka maini ![emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom