Mwanamke wa Iran avua nguo zote baada ya kughasiwa kuwa amevaa vibaya hijab


Tofautisha mwanamke na Mshangazi
 
Wanawake NI watu wa hovyo kaambiwa avae hujabu lake vizuri kaenda kavua nguo zote hata cjui waekwe kundi gani
 
Wanawake NI watu wa hovyo kaambiwa avae hujabu lake vizuri kaenda kavua nguo zote hata cjui waekwe kundi gani
Mbona kawaida, mchana ukimwambia mwanamke akae vizuri anabana mapaja/miguu, usiku ukimwambia akae vizuri anatanua mapaja/miguu
 
Pole kijana huyo Dada ni mgonjwa wa akili
Hana ugonjwa wa akili. Ingawa siungi mkono hatua alizochukua huyo Binti kujianika. Bado haiondoi ukweli kwamba Iran huwachukulia wanawake kama mifugo wa kuswagwa vyovyote kwa sharia zao.
 

Kwani aliyebakia mzima milele kama shujaa Yuko wapi?
 
Kama wanajali haki za Binadamu watamfunga.

Iran isikie hivyo hivyo. Wanatamani hata wawe na funguo za jehanam
Hakuna mkuu isipinge Sheria za watu na maono yao sisi tumeshindwa kuwa na Sheria zetu na maono yetu ndo maana taifa letu halina muelekeo
Sheria kandamizi au Kali ndo zinazotakiwa kwa mwanamke la sivyo hizi single maza na wadangaji zitazidi kuliko walioko kwenye ndoa

Nb sio kila Sheria NI nzuri kwa kila mtu au mbaya kwa kila mtu kikubwa NI kuangalia impact yake NI ipi katika jamii NI hayo mkuu
 
Kutokua na mtu wa kumstiri na kua ni mgonjwa wa akili vina uhusiano upi halafu alistiriwa ila kwakua huelewi mambo ndio unakurupuka hayo matukio yalinaswa na cctv camera ila alistiriwa saf kabisa
Noo wewe ndiye uliyekurupuka na huelewi mambo,ua kama hilo kukaa hadharani ndani ya kichupi unasema kwa kuwa mgonjwa wa akili basi haihusiani na watu kumsaidia haraka?

Huyo ilibidi asikae hapo mpaka nzi wajae kama inavyoonekana ilibidi aondoshwe hapo mara moja apelekwe sehemu tulivu kama matibabu apewe ndiyo mengine yaendelee.
 
hawa wanafaa kuwa wakimbizi tz.. nina eneo kiasi la kuhifadhi wakimbizi wawili kama hawa..au wanne kutoka ukraine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…