luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Mara utaskia waziri fulani kakosea no mara balozi fulani nae kakosea no,like that, like that mara upande mwingine kilio mara mvulana wa f2 au wa chuo nae kakosea no. Dunia ndo ilivyo watu na bahati zao wengine mikosi ndo hivyo.