Mwanamke wa kiarabu

Mwanamke wa kiarabu

Mkuu kwenye harakati zako uwe makini kutofautisha waarabu na warangi...unaweza ukauziwa mbuzi kwenye gunia mkuu... Uwe macho...
 
Waajemi wote ni waarabu maana uajemi kwa asili ni Iraq wote hao ni waarabu ikiwa pamoja na Iran
nani kakwambia wa iran ni waarabu rudi kasome vzr ulipotoa hyo taarifa ya kuwa iran ni arabs
 
Upo wapi ngosha? Kama upo shinyanga panda kamin bus kuna waarabu kibao wa Bukombe hawana hata ndugu uarabuni, wanaongea kisukuma mwanza mwisho ila ni waarabu!
 
Wewe huna pesa au si mtu wa "viwanja" maana hao kwenye ma-Casino kibao.
 
Mwanamke wa kiarabu atakuua kwa pilau ndugu yangu ! Vyakula vya kwenu utavikosa
 
Mara utaskia waziri fulani kakosea no mara balozi fulani nae kakosea no,like tha like mara upande mwingine kilio mara mvulana wa f2 au wa chuo nae kakosea no. Dunia ndo ilivyo watu na bahati zao.
==> hii chai?
 
Back
Top Bottom