Afro-Arabica
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 1,107
- 492
Abeee !!! Unatutafutia nini?Jamani kwa mara nyingine tena naomba niwajuze kuwa nahitaji mwanamke wa kiarabu na nikisema mwanamke wa kiarabu nina maana mwanamke wa kiarabu naomba niwasilishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abeee !!! Unatutafutia nini?Jamani kwa mara nyingine tena naomba niwajuze kuwa nahitaji mwanamke wa kiarabu na nikisema mwanamke wa kiarabu nina maana mwanamke wa kiarabu naomba niwasilishe.
acha utani bhas.nakuja PMMkuu huyo binti naishi naye jiran hapa
nani kakwambia wa iran ni waarabu rudi kasome vzr ulipotoa hyo taarifa ya kuwa iran ni arabsWaajemi wote ni waarabu maana uajemi kwa asili ni Iraq wote hao ni waarabu ikiwa pamoja na Iran
Dada farkhina jamaa anakuhitaji hapa umpikie kalmat na biryani, tafadhali njoo.
Abeee !!! Unatutafutia nini?
Me nimeshawahiwa zamani mbona
Nilihama makazi..... mwaka 2016 ntakuwa mkimbizi Europe!!Ulikua wapi? Nliku miss jikoni kule
Njoo pm tujadilianeAbeee !!! Unatutafutia nini?
Asnte..., wewe hustahii.. siye wanawake Arab tujilete PM? au wewe ndo muhitaji !!Njoo pm tujadiliane
Si mpaka uruhusuwe sasa wewe hujaruhusu nikuja mwenyewe basi najaAsnte..., wewe hustahii.. siye wanawake Arab tujilete PM? au wewe ndo muhitaji !!
Kimasomaso mwananga msimuone [emoji85] !Bila shaka utakuwa kabila moja na mh Rais Wa awamu ya 5 tz
Hataki mtoto cheusi mangala kama yeye!kipi kilichokusukuma kutaka waarabu?
Abeee !!! Unatutafutia nini?
==> hii chai?Mara utaskia waziri fulani kakosea no mara balozi fulani nae kakosea no,like tha like mara upande mwingine kilio mara mvulana wa f2 au wa chuo nae kakosea no. Dunia ndo ilivyo watu na bahati zao.