Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
yewoomi, kumbe unakumbuka haka kawimbo.hahahahahahaya wamama wote: ngesi ngesi na kilaweehaya wababa:nyama nyama na wariiiihahahahaha keleuwiiiii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yewoomi, kumbe unakumbuka haka kawimbo.hahahahahahaya wamama wote: ngesi ngesi na kilaweehaya wababa:nyama nyama na wariiiihahahahaha keleuwiiiii....
Nimeelewa ...hakika wewe sio Mchagga
yewoomi, kumbe unakumbuka haka kawimbo.
si nasikia hawana ufundi wowote..kwa bed
shapeless ubaunsa kifuani,
Ukitaka mafundi safari ya tanga inakuhusu
Wana makalio km mchina .........flatiiiiiiiiki
Kipaji Halisi kwa nini unaandikia mate wakati wino umejaa tele
enzi nakua tuliuimba sanakumbe nimepatia eeehh
mwanamke reception
shape hata kwa mchina ipo meen!!
​baeleze baeleze!!Wanawake wa kichaga ndo mpango mzima... Heaven on earth kama ulijua vile.
wape wape vidonge vyaoooo...
hahahahaha
naona umeniweka kizimbani..
Mi huwa nayasikia tu hayo maneno
Ukipata mali, watoto watabaki bila baba
mmmmmmmh!!ilikua long
nawdays tunakimbiza mbaya!!
hahahahaa...siku hizi mwendo wa fastjet.... wachagga wa mujini! waambie Passion Lady!
mwanamke reception
shape hata kwa mchina ipo meen!!
utanusurika ikiwa mwanamke utamkuta na mali zake tayari, na usijitie kimbele mbele kumuonyesha vya kwako....nimeliona hilo,
Jamani wanajamvi naweza kuwa mgeni wa jambo hili: ni zipi sifa halisi za wakidada wa kichaga na ukitaka kuoa ni taratibu gani za kufuata mpaka kutoa mahali? Msaada jamani wanajamvi.
nashanga!!ndio nshawaambia
mwanamke mapokezi bana
twako hata mjusi kazaliwa nalo hahaaa!!