Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu


Walikufanyaje?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Phd ya utundu ni utundu gani huo Mkuu?

 
Taaaaangaaaa(in Kassim Mganga’s voice)

Nilikuwa sijui. Ngoja nikamtake Meko
 
Ushamba huo. Wanaume woote mnatueleza ujinga ujinga kama huu? Mwanamke a kitanga hana tofauti na mwanamke yoyote aliyeamua kumburudisha mwanaume. Tatizo mnaenda kuwavamia wakati bado nyi ma Juniors. Mi nishakuwa nao zaidi ya saba, wanakuchanganya wakutapeli ukiishiwa wanakutosa. Kwa mwenye akili mpaka hapo ushajua cha kufanya. Na wewe mwigizie akishtuka tembea katafute mjinga mwingine.
Tanga hapana mi niliuza ng'ombe Mungu tu ndiye aliyenitoa kule
 
Hahaaa... Nilikuwa nikatembelee Tanga wiki hii kutoka huku Bara lakini naona nimeghairi, naweza nisirudi aisee! πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna mwanangu alipata kazi huko si muda mrefu akaopoa mtoto wa kidigo jamaa alikua ananipa feedback anasema mzee mwenzangu ukisikia nimekufa usihangaike kutafuta muuaji ni raha tu zitaniua haka katoto kanaweka p#mb|_| kwemye sahani.. Kananinyonya hadi vidole vya miguu

Jamaa alikua haambiliki bahati nzuri alihamishwa kwazi ndio ikawa pona pona yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikufanyaje?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni story ndefu. Ila kwa ufupi ni kwamba wanajua sana kushawishi iwe kwa matendo au maneno, wanajua kubembeleza, na hawakati tamaa kirahisi pale wanapokuwa wameamua kukunasa. Sasa yanayofanyika baada ya mtu kunaswa hayo sina uzoefu nayo. Mimi nina uzoefu nao kabla ya kunaswa. Wakati nawindwa ili ninaswe. Bahati nzuri nilinusurika- ilibakia kidogo sana. Ikabidi nihame ili kujinusuru na mitego ile. Hatari sana. Tanga, Tanga, Tanga. I will never forget that City.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini asimuoe sasa kama alikuwa anapewa raha zote? Kwahiyo hao ni viburudisho tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…