Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

[emoji38][emoji38]
 
Wanajiendekeza tuu hawa vijana..unakamatwaje yani????
 
P
Panaitwa Sahare
 
Hao ni mitego ya kunasa wageni na watu wa Bara, Tanga sifa nyingine zinakuzwa kwa mlengo wa mtu
 
Weh! Mi ni mgumu kushikwa, mwaka jana mtoto wa kitanga alitaka kunishika. Yaani alitumia mbinu nyingi mfano aliwahi kunijaribu na kanga moja-hola!, mara akiniona anatingisha makusudi-hola!, akajaribu kunitumia marafiki napo-hola!, mara ya mwisho nilikutana naye ana kwa ana akanza kuimba ule wimbo wa harmonize eti "I am single, I am single again"-HOLLLA!!
Kwa hakika alinyoosha mikono juu maana nilikuwa nimeshindika.

Chezea Mimi!
 
Asili ya uumbaji inataka Mwanaume ndie aanze kumfukuzia mwanamke na sio mwanamke kumtaka mwanaume.
Rejea “ Chase the thrill principle “
 
Uzoefu unaonesha mwanamke anaeweza kuanza kumtega na kumtongoza Mwanaume huwa ni mwanamke mwenye tabia ya Umalaya .
Cha wote.
Ambae hajatulia.
 
Hahaha
 
Duuh
 
Wanawake wa tanga Ni hatari Sana yaani wakikuteka wanakuteka kweli alafu kukuwacha Ni dakika 1 tu nilisha kuwa nao Kama 3 alafu tabia zao zinafanana naisi watakuwa wote wamesomea chuo kimoja yaan
 
Wanawake wa tanga Ni hatari Sana yaani wakikuteka wanakuteka kweli alafu kukuwacha Ni dakika 1 tu nilisha kuwa nao Kama 3 alafu tabia zao zinafanana naisi watakuwa wote wamesomea chuo kimoja yaan
Huwa hawaoni shida kwenye kuachana
 
Hapo kwenye "Chezea Mimi!"
Kweli unazechewaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…