Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Nina jamaa yangu alipata demu wa kitanga miaka nyuma. Ndani ya wiki moja aliuza shamba la baba yake likiwa na mahindi yamepandwa yana mbelewele hata hakusubiri kuvuna. Baadae tunamuuliza kama aliwekewa ndumba jibu alilokuwa anatoa ni "nyie hamjui tu"...Baadae akasimulia kiwa alikuwa anabebwa mgongoni huku 'double zero' zinachezewa kwa mikono anapelekwa kuogeshwa kwenye maji ya uvuguvugu yaliwekwa iliki. Anasema mpaka kesho harudi tena Tanga maana anaogopa yatamkuta tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38]
 
Nikionaga hizi stori za wanawake wa TA huwa nacheka sana,eti ukikamatwa umekamatika hah hahah hah siwezi jua kwa wenzangu huwa mnapewa nini extra ila kama ni mahaba tu kitandani na madikodiko mezani hakika mimi niliruka viunzi,

Nimesoma chuo cha ualimu Sahare TTC miaka miwili,nililipoti late sana sababu ya noti za kuunga unga maskani kwetu kanda ya ziwa bush ndani ndani huko.Ile nafika tu ndani ya wiki moja nikapata kitoto cha kisambaa white na tako kama lote hadi linachongulia kwenye zile nguo zao nimechapa sana tu nikaona mmoja tu sitaifaidi nikawa nao kama 4 hivi ni kugawa sperm tu no way out,mwaka wa pili maisha yakapinda hatari mother yangu akaugua na ndiyo alikuwa kila kitu,ile tumefunga nikatembea Dar kusaka vibarua kwenye kampuni la vinywaji baridi nikapiga kazi likizo nzima nikapata pesa kidogo yote nikalipa ada nusu mhula,nikabaki empty set lakini mademu zangu ndiyo walinilea mpaka kula na emergency za hapa na pale,Kuna huyu nlikuja kumpata mwaka wa pili naelekea kumaliza nusu mhula yeye akanihamisha na geto kabisa akasema nikapange pale alipopanga yeye,basi tukawa mke na mume kabisa na kwa bahati nzuri mwaka huohuo mzee wake Daktari mstaafu ndiyo alikutwa amepewa mafao basi demu alikuwa na noti za kutosha alinihudumia kila kitu mpaka na pocket money,
Akaanza kuniita Abdul badala ya jina langu la kikristu na nilimwahidi nitabadili dini soon ili tufunge ndoa ya kiislamu,wala sikuwa na mpango huo ila niliamua kuenenda kama anavyotaka ili nitimize adhima yangu.
Mpaka namaliza chuo ndoto zetu zilikuwa tuoane kabisa na alikuwa tayari tufunge ndoa,

Nilipomaliza chuo hata hela ya kukomboa cheti changu sikuwa nayo ikabidi nirudi Dar tena vibaruani ili kusaka hela ya kukomboa vyeti,akanipa nauli na kuendelea kuwasiliana na ikumbukwe muda huohuo nilikuwa nachakata zile pisi mbili kwa nyakati tofauti.

Muda wa kwenda JKT ukafika nikasepa zangu Arusha ile tunakuja kumaliza mafunzo tulikaa kidogo tu ajira zikatoka,wote tukatupwa kanda ya ziwa mikoa tofauti mimi home,yeye ugenini ndoto zetu za kuoana zikafifia kwanza swala la kubadili dini nikasema siwezi,akasema basi tufunge ndoa ya kiserikali nikaona itaniletea matatizo mbeleni hasa kwa wanangu,

Hadithi za watoto wa Kitanga zikaishia hapo,kila manzi alijipa asilimia za kuwa Mrs, lakini wala sikufikiria kabisa kuoa mwanamke wa Pwani hasa kwa yale niliyoyaona kwa muda huo niliokaa huko.

Sasa nikisikia habari za kukamatika Washikaji huwa nacheka sana.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajiendekeza tuu hawa vijana..unakamatwaje yani????
 
P
mimi niliwai kukamatwa na mtoto wa kitanga ndani ya saare tanga.
nimekuja kushtuka kupata akili nishakula mpaka nauli.
nikaomba lift kwenye fuso imebeba nazi kuja dar.

astakafilulaaa wee !!!!!nilikuwa na safari ya mbeya moyo ukaiambia akili "pitia short cut ya tanga ukampe hai mariam mjata mtoto wa kitanga akupe raha kisha uondoke"
akili yangu ikakataa katakata hakuna short cut ya kwenda mbeya uzungukie tanga bali ni nyege tu na mahaba ya yule binti mtanga.
nikanyoosha one way mpaka mbeya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Panaitwa Sahare
 
Hao ni mitego ya kunasa wageni na watu wa Bara, Tanga sifa nyingine zinakuzwa kwa mlengo wa mtu
 
Weh! Mi ni mgumu kushikwa, mwaka jana mtoto wa kitanga alitaka kunishika. Yaani alitumia mbinu nyingi mfano aliwahi kunijaribu na kanga moja-hola!, mara akiniona anatingisha makusudi-hola!, akajaribu kunitumia marafiki napo-hola!, mara ya mwisho nilikutana naye ana kwa ana akanza kuimba ule wimbo wa harmonize eti "I am single, I am single again"-HOLLLA!!
Kwa hakika alinyoosha mikono juu maana nilikuwa nimeshindika.

Chezea Mimi!
 
Asili ya uumbaji inataka Mwanaume ndie aanze kumfukuzia mwanamke na sio mwanamke kumtaka mwanaume.
Rejea “ Chase the thrill principle “
 
Uzoefu unaonesha mwanamke anaeweza kuanza kumtega na kumtongoza Mwanaume huwa ni mwanamke mwenye tabia ya Umalaya .
Cha wote.
Ambae hajatulia.
 
Habari za jioni.

Kuna jambo nimejifunza ila nimechelewa sana kulijua. Lakini huu ndo ukweli. Naamini wanawake wa Kitanga kuna sehemu wanakwenda kufundishwa mambo. Kwa sababu hakuna mwanamke anaejua kumnasa mwanaume kama mwanamke wa kitanga.

Mwanamke wa kitanga akikutaka anakupata. Tena bila hata kukutongoza. Na hela utampa hata asipokuomba. Yamenikuta. Ile mitego aloniwekea nilinasa kilaini sana licha ya kuwa na msimamo. Hapa unapoona nimeshamlipia na kodi japo hajaniomba.

Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika.

Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
Hahaha
 
Kuna mzee mmoja miaka ya 90 alikuja Tanga field akajikuta amepitiliza muda wake na maisha yanaendelea na toto mmoja wa kibondei limemchengua yaani kasahau familia yake uko alipotoka

Ndipo ndugu zake nao wakapiga ndumba akastuka kidogo, akapanda basi kurudi lakini alivyofika daraja la wami, akasimamisha bus na kumwambia dereva anaomba kushuka maana amesahau koti lake ndipo watu wanashangaa na kucheka sana wakasema Tanga ukiingia hutoki tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh
 
Wanawake wa tanga Ni hatari Sana yaani wakikuteka wanakuteka kweli alafu kukuwacha Ni dakika 1 tu nilisha kuwa nao Kama 3 alafu tabia zao zinafanana naisi watakuwa wote wamesomea chuo kimoja yaan
 
Wanawake wa tanga Ni hatari Sana yaani wakikuteka wanakuteka kweli alafu kukuwacha Ni dakika 1 tu nilisha kuwa nao Kama 3 alafu tabia zao zinafanana naisi watakuwa wote wamesomea chuo kimoja yaan
Huwa hawaoni shida kwenye kuachana
 
Weh! Mi ni mgumu kushikwa, mwaka jana mtoto wa kitanga alitaka kunishika. Yaani alitumia mbinu nyingi mfano aliwahi kunijaribu na kanga moja-hola!, mara akiniona anatingisha makusudi-hola!, akajaribu kunitumia marafiki napo-hola!, mara ya mwisho nilikutana naye ana kwa ana akanza kuimba ule wimbo wa harmonize eti "I am single, I am single again"-HOLLLA!!
Kwa hakika alinyoosha mikono juu maana nilikuwa nimeshindika.

Chezea Mimi!
Hapo kwenye "Chezea Mimi!"
Kweli unazechewaaaa
 
Back
Top Bottom