Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

dah mleta mada wewe umepatwa ila mimi nilimpata mmoja huyo,nahisi yule alikuwa na pepo maana kila saa anataka awe kifuani nakumbuka ndo alikuwa yupo likizo nakumbuka hela yake ya likizo aliitumia yote tukiwa ndani tualikuwa hataki nitoke nje ndani ya week 3 sikukanyaga nje,wapangaji wakawa wanaskia inavyoilalamikia basi toka hapo ilikuwa wakiskia tu unafngua mlango uende uani basi ote wanatoka mwenye kuvaa kanga moja mwenye kuvaa night dress maana nyumba ilikuwa ina viji apartment wapngaji kama watano,mwisho waume zao wakaniweka chini wakanipa mkwala mi nacheka tu.
dah sitaisahau tanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenivunja sana mbavu. Sasa hizi habari ukiwaambia ambao hayajawakuta hawaamini, eti wanahisi ni udhaifu. Mimi nawaambia ngoja yawakute.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kweli samaki hufuata ndoano, umenusurika[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha Yaani ni hatari. Mi nawaambia kama una familia basi kaa mbali na toto la kitanga.
 
Ukiwa mpumbavu lazima akupate
 
Asante kwa kunipa elimu hii. Kwahiyo wanawake wa kitanga kinachowaponza ni kukosa uaminifu. Mimi ni mtu wa bara. Unanishaurije mkuu ?
 
Binafsi nimezaliwa Tanga, nimekulia huko, NAONA WAGENI WAKIPATA UTAMU WENYE TAABU IZO, wahusika hatufanyiwi hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kweli wanapenda sana ngoni. Ila kwa kupenda ngobo hawawafikii wanawake wasukuma wa shinyanga. Wale ndi balaa.
 
Malizia kazi iliyokupeleka rudi, mpka hapo ukiendelea zaidi waweza poteana nakuanza life upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…