Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Acha kutekwa akili kijinga hivyo wanawake wa Tanga si kitu wana mapenzi ya kwd ambayo hayana tofauti na haya ya Watoto shombeshombe wa Tabora. #BahariaMzoefu.

5/5
 
Wanawake wengi wa kitanga hawadumu kwenye mahusiano kwanza inabidi ujue culture yao watu wa Tanga hasa wanawake kwenye mahusiano ,mwanamke wa kitanga yeye kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwake ni kawaida kabisa halafu wao mara nyingi haogopi mapenzi kuvunjika ila inabidi ufahamu pia kama sio mtu wa huko akikupenda ujue una kitu mfukoni halafu pia mwanaume wa bara huwezi kuishi na mwanamke wa Tanga labda ukubali yeye ndio awe ana sauti ndani kingine wanawake wajanja wengi hawawapendi wanaume wa Kitanga sababu ikisemekana wanaume wengi watanga hawapendi kazi ngumu kwenye utafutaji wao kuuza genge yaan zile kazi lain lain ila kwa wewe kama mpk umeleta uzi humu maana yake akili imeanza kukurudi maana hapo umekamatwa
Upo sahihi kabisa,Wao sio wavumiliv na hawaogopi kuanzisha mahusiano mapya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muanzisha mada anasema ukweli
Kuna mzee mmoja miaka ya 90 alikuja Tanga field akajikuta amepitiliza muda wake na maisha yanaendelea na toto mmoja wa kibondei limemchengua yaani kasahau familia yake uko alipotoka

Ndipo ndugu zake nao wakapiga ndumba akastuka kidogo, akapanda basi kurudi lakini alivyofika daraja la wami, akasimamisha bus na kumwambia dereva anaomba kushuka maana amesahau koti lake ndipo watu wanashangaa na kucheka sana wakasema Tanga ukiingia hutoki tena

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta wawili au watatu hapo hapo TANGA MJINI
2009 nakumbuka one week nilitafuna PISI tatu ZA TANGA NYEUPE PEEEE
NILienda kufuata cheti Cha advance ili nikaanze chuo
1.nilimwahid Nampa ajira KAMPUNI ya tigo
Alivyokuja hotel akaambulia tisheti ya tigo
ALINIKUTA BA VIPEPERUSHI KIBAO VYA KUSAJILI LINE NA TISHET PC MBILI
2.Nilimwambia aje BANDARI akaacha barua yake na passport size sita kesho yake nikamtafuna
3.ALITAKA SIMU NIKAMWAMURU AKUJE HOTEL,NIKALA.NIKAMWAMBIA KESHO YAKE AJE TWENDE TUKANUNUE SIMU
,KESHO NIKASEPA BARA
 
We noma
Tafuta wawili au watatu hapo hapo TANGA MJINI
2009 nakumbuka one week nilitafuna PISI tatu ZA TANGA NYEUPE PEEEE
NILienda kufuata cheti Cha advance ili nikaanze chuo
1.nilimwahid Nampa ajira KAMPUNI ya tigo
Alivyokuja hotel akaambulia tisheti ya tigo
ALINIKUTA BA VIPEPERUSHI KIBAO VYA KUSAJILI LINE NA TISHET PC MBILI
2.Nilimwambia aje BANDARI akaacha barua yake na passport size sita kesho yake nikamtafuna
3.ALITAKA SIMU NIKAMWAMURU AKUJE HOTEL,NIKALA.NIKAMWAMBIA KESHO YAKE AJE TWENDE TUKANUNUE SIMU
,KESHO NIKASEPA BARA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mmoja huyo umbo lake tu zuri unaweza ombea hata zamana!
Kuna siku alinisogelea kenge Mimi aisee lile jicho lake duh! Nililihimili lkn chamoto nilikiona!.. ukisikia mtoto jicho remburembu ndo Lile! Linatosha kabisa kukuambia mimi ni hodari wa mapenzi jiongeze Basi😅😅
Jicho lile silisahau ila kenge nililiacha lipite mwana kwenda maana ningebaki mifupa kama ningenasa pale.. Ni kweli tanga Kuna la ziada.
 
Wanawake wengi wa kitanga hawadumu kwenye mahusiano kwanza inabidi ujue culture yao watu wa Tanga hasa wanawake kwenye mahusiano ,mwanamke wa kitanga yeye kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwake ni kawaida kabisa halafu wao mara nyingi haogopi mapenzi kuvunjika ila inabidi ufahamu pia kama sio mtu wa huko akikupenda ujue una kitu mfukoni halafu pia mwanaume wa bara huwezi kuishi na mwanamke wa Tanga labda ukubali yeye ndio awe ana sauti ndani kingine wanawake wajanja wengi hawawapendi wanaume wa Kitanga sababu ikisemekana wanaume wengi watanga hawapendi kazi ngumu kwenye utafutaji wao kuuza genge yaan zile kazi lain lain ila kwa wewe kama mpk umeleta uzi humu maana yake akili imeanza kukurudi maana hapo umekamatwa
ddu kazu ya kuuza gengee 😅😅😅
 
mimi niliwai kukamatwa na mtoto wa kitanga ndani ya saare tanga.
nimekuja kushtuka kupata akili nishakula mpaka nauli.
nikaomba lift kwenye fuso imebeba nazi kuja dar.

astakafilulaaa wee !!!!!nilikuwa na safari ya mbeya moyo ukaiambia akili "pitia short cut ya tanga ukampe hai mariam mjata mtoto wa kitanga akupe raha kisha uondoke"
akili yangu ikakataa katakata hakuna short cut ya kwenda mbeya uzungukie tanga bali ni nyege tu na mahaba ya yule binti mtanga.
nikanyoosha one way mpaka mbeya.


Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅 uchawi upo amin ya shortcut ya kwenda mbeya uzunguke tangaa
 
Back
Top Bottom