Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Mma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mma
Upo sahihi kabisa,Wao sio wavumiliv na hawaogopi kuanzisha mahusiano mapyaWanawake wengi wa kitanga hawadumu kwenye mahusiano kwanza inabidi ujue culture yao watu wa Tanga hasa wanawake kwenye mahusiano ,mwanamke wa kitanga yeye kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwake ni kawaida kabisa halafu wao mara nyingi haogopi mapenzi kuvunjika ila inabidi ufahamu pia kama sio mtu wa huko akikupenda ujue una kitu mfukoni halafu pia mwanaume wa bara huwezi kuishi na mwanamke wa Tanga labda ukubali yeye ndio awe ana sauti ndani kingine wanawake wajanja wengi hawawapendi wanaume wa Kitanga sababu ikisemekana wanaume wengi watanga hawapendi kazi ngumu kwenye utafutaji wao kuuza genge yaan zile kazi lain lain ila kwa wewe kama mpk umeleta uzi humu maana yake akili imeanza kukurudi maana hapo umekamatwa
😅😅Na wewe pia
Jr[emoji769]
😂😂😂Wasambaa oyeeeeh
Gusa unase
Kuna mzee mmoja miaka ya 90 alikuja Tanga field akajikuta amepitiliza muda wake na maisha yanaendelea na toto mmoja wa kibondei limemchengua yaani kasahau familia yake uko alipotoka
Ndipo ndugu zake nao wakapiga ndumba akastuka kidogo, akapanda basi kurudi lakini alivyofika daraja la wami, akasimamisha bus na kumwambia dereva anaomba kushuka maana amesahau koti lake ndipo watu wanashangaa na kucheka sana wakasema Tanga ukiingia hutoki tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu hao wanawake hiyo ni kampeni, akipata jimbo ndiyo utamjua. Ndiyo maana wanapigwa chini, na huku hatuzuzuki nao kabisa
Tafuta wawili au watatu hapo hapo TANGA MJINI
2009 nakumbuka one week nilitafuna PISI tatu ZA TANGA NYEUPE PEEEE
NILienda kufuata cheti Cha advance ili nikaanze chuo
1.nilimwahid Nampa ajira KAMPUNI ya tigo
Alivyokuja hotel akaambulia tisheti ya tigo
ALINIKUTA BA VIPEPERUSHI KIBAO VYA KUSAJILI LINE NA TISHET PC MBILI
2.Nilimwambia aje BANDARI akaacha barua yake na passport size sita kesho yake nikamtafuna
3.ALITAKA SIMU NIKAMWAMURU AKUJE HOTEL,NIKALA.NIKAMWAMBIA KESHO YAKE AJE TWENDE TUKANUNUE SIMU
,KESHO NIKASEPA BARA
id yako mkuu kila nikiiiona ni nacheka sanaa duTanga raha
ddu kazu ya kuuza gengee 😅😅😅Wanawake wengi wa kitanga hawadumu kwenye mahusiano kwanza inabidi ujue culture yao watu wa Tanga hasa wanawake kwenye mahusiano ,mwanamke wa kitanga yeye kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwake ni kawaida kabisa halafu wao mara nyingi haogopi mapenzi kuvunjika ila inabidi ufahamu pia kama sio mtu wa huko akikupenda ujue una kitu mfukoni halafu pia mwanaume wa bara huwezi kuishi na mwanamke wa Tanga labda ukubali yeye ndio awe ana sauti ndani kingine wanawake wajanja wengi hawawapendi wanaume wa Kitanga sababu ikisemekana wanaume wengi watanga hawapendi kazi ngumu kwenye utafutaji wao kuuza genge yaan zile kazi lain lain ila kwa wewe kama mpk umeleta uzi humu maana yake akili imeanza kukurudi maana hapo umekamatwa
😅😅😅😅 uchawi upo amin ya shortcut ya kwenda mbeya uzunguke tangaamimi niliwai kukamatwa na mtoto wa kitanga ndani ya saare tanga.
nimekuja kushtuka kupata akili nishakula mpaka nauli.
nikaomba lift kwenye fuso imebeba nazi kuja dar.
astakafilulaaa wee !!!!!nilikuwa na safari ya mbeya moyo ukaiambia akili "pitia short cut ya tanga ukampe hai mariam mjata mtoto wa kitanga akupe raha kisha uondoke"
akili yangu ikakataa katakata hakuna short cut ya kwenda mbeya uzungukie tanga bali ni nyege tu na mahaba ya yule binti mtanga.
nikanyoosha one way mpaka mbeya.
Sent using Jamii Forums mobile app