- Thread starter
- #101
Hii imekaaje mkuu ?wana ammbo ya ajabu unaenda kwake unanuka maandazi sijui chapati
hadi maji wanaweka iriki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imekaaje mkuu ?wana ammbo ya ajabu unaenda kwake unanuka maandazi sijui chapati
hadi maji wanaweka iriki
Sanaanasikia wana mwagaunooo sanaa nikwel?
Kwa upande wa mizinga hiyo ni tabiabya mtu kiukweli maana mie huyu wangu hana mizinga. Japo nami huwa nampa sana tu.Kuna jamaa yngu alilipata moja hivi shankupe la hapo migo anakuambia yapo vema sana kwa bedi yaani ni balaa. ila sasa mizinga ikawa sio ya kitoto wakikutana tu anataka ashushe lite kwanza kama tatu nne hivi ndo muanze maongezi mwenyewe anadai eti anapooza koo duu jamaa na senti zake za ngama alishtuka akambwagia mazima na kumblock kulia na kushoto. Manzi akahaha sana kumrudisha jamaa lakini wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huyo alikutana na balaa tupu. Mi sibebwi mgongoni ila sasa hilo balaa la chumbani.Nina jamaa yangu alipata demu wa kitanga miaka nyuma. Ndani ya wiki moja aliuza shamba la baba yake likiwa na mahindi yamepandwa yana mbelewele hata hakusubiri kuvuna. Baadae tunamuuliza kama aliwekewa ndumba jibu alilokuwa anatoa ni "nyie hamjui tu"...Baadae akasimulia kiwa alikuwa anabebwa mgongoni huku 'double zero' zinachezewa kwa mikono anapelekwa kuogeshwa kwenye maji ya uvuguvugu yaliwekwa iliki. Anasema mpaka kesho harudi tena Tanga maana anaogopa yatamkuta tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya kitubu sio kweli mkuuNasikia wanakulaga koni Kama wanakula muwa vile na wananyonya Hadi kitobo.
Shule zifunguliwe tu ..katoto hako kasamehe bure...
naona unaexperience ya kutoshaaSanaa
Mbona sijatelekeza familia?Habari za jioni.
Kuna jambo nimejifunza ila nimechelewa sana kulijua. Lakini huu ndo ukweli. Naamini wanawake wa Kitanga kuna sehemu wanakwenda kufundishwa mambo. Kwa sababu hakuna mwanamke anaejua kumnasa mwanaume kama mwanamke wa kitanga.
Mwanamke wa kitanga akikutaka anakupata. Tena bila hata kukutongoza. Na hela utampa hata asipokuomba. Yamenikuta. Ile mitego aloniwekea nilinasa kilaini sana licha ya kuwa na msimamo. Hapa unapoona nimeshamlipia na kodi japo hajaniomba.
Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika.
Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Khaaaah nyie watu uwiiiiNakumbuka bite wangu Toto la kisambaa mweupeeee Kama mzungu .
Nilivyopigwa kibuti hakika nikichanganyikiwa [emoji1787][emoji1787]
Sikuwa sawa kwa mwaka mzima [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Experience yangu ni ndogo ila ni deep.naona unaexperience ya kutoshaa
Naelewa ulivyohisi kaka. Maana toto la kitanga likudatishe kama nilivyodata mimi halafu likuache daah!Nakumbuka bite wangu Toto la kisambaa mweupeeee Kama mzungu .
Nilivyopigwa kibuti hakika nikichanganyikiwa [emoji1787][emoji1787]
Sikuwa sawa kwa mwaka mzima [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni washirikina kweli nyie ?Karibu Tanga, tena nyie wanaume wabara tunawapenda kweli tunawatengenezea alkasus mnywe taratiiiibu mkimaliza tunatafuta msio tunawasinga taratiiibu mtakumbukaje huko kwenu mwanza cjui singidaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimu mwenyewe mdigo vilevile ila sihadaiki na hawa dada wa kabila langu
Mkuu umenichekesha Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina jamaa yangu alipata demu wa kitanga miaka nyuma. Ndani ya wiki moja aliuza shamba la baba yake likiwa na mahindi yamepandwa yana mbelewele hata hakusubiri kuvuna. Baadae tunamuuliza kama aliwekewa ndumba jibu alilokuwa anatoa ni "nyie hamjui tu"...Baadae akasimulia kiwa alikuwa anabebwa mgongoni huku 'double zero' zinachezewa kwa mikono anapelekwa kuogeshwa kwenye maji ya uvuguvugu yaliwekwa iliki. Anasema mpaka kesho harudi tena Tanga maana anaogopa yatamkuta tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mgeni utahadaika ila si sisi mwenyeji, hufanya hivyo akiwa anatafuta namna ya kukunasa. Ila akishakunasa yote huyasahauIna maana hizi raha wanazotoa zote nyie mnaziona kama maigizo ?