Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

"Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika."

Hao wanawake ni malaya mbwa na hawajui kukataa...hivyo jua mpo kibao hapo na ukiwa nao hutajua kama haupo peke yako kwa anayokufanyia ila ukimchunguza ni mchafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika."

Hao wanawake ni malaya mbwa na hawajui kukataa...hivyo jua mpo kibao hapo na ukiwa nao hutajua kama haupo peke yako kwa anayokufanyia ila ukimchunguza ni mchafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu leteni hizo takwimu zinazothibitisha kuwa wanaachika
 
mimi niliwai kukamatwa na mtoto wa kitanga ndani ya saare tanga.
nimekuja kushtuka kupata akili nishakula mpaka nauli.
nikaomba lift kwenye fuso imebeba nazi kuja dar.

astakafilulaaa wee !!!!!nilikuwa na safari ya mbeya moyo ukaiambia akili "pitia short cut ya tanga ukampe hai mariam mjata mtoto wa kitanga akupe raha kisha uondoke"
akili yangu ikakataa katakata hakuna short cut ya kwenda mbeya uzungukie tanga bali ni nyege tu na mahaba ya yule binti mtanga.
nikanyoosha one way mpaka mbeya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Uliogopa bure mbona hiyo ndo short cut ya mbeya bro
 
aaaah Nimekumbuka pe wangu msambaa,alikuwa na amusha amsha hatari,kuna siku nilimchapa vi4,nikachoka hatari,tumelala nikaanza kujisikia dushe limepata moto,kuamka nacheki kasogeza Tako lake afu mbo... Yangu imefichwa takoni.... Noma

Kuna jambo nimejifunza ila nimechelewa sana kulijua. Lakini huu ndo ukweli. Naamini wanawake wa Kitanga kuna sehemu wanakwenda kufundishwa mambo. Kwa sababu hakuna mwanamke anaejua kumnasa mwanaume kama mwanamke wa kitanga.

Mwanamke wa kitanga akikutaka anakupata. Tena bila hata kukutongoza. Na hela utampa hata asipokuomba. Yamenikuta. Ile mitego aloniwekea nilinasa kilaini sana licha ya kuwa na msimamo. Hapa unapoona nimeshamlipia na kodi japo hajaniomba.

Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika.

Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
[/QUOTE]
 
"Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika."

Hao wanawake ni malaya mbwa na hawajui kukataa...hivyo jua mpo kibao hapo na ukiwa nao hutajua kama haupo peke yako kwa anayokufanyia ila ukimchunguza ni mchafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila unachosema kinaweza kuwa na ukweli maana ananitendea vizuri sana mpaka sitaki kuamini kuwa siko peke yangu.
 
Ahhh, ni ulimbukeni wa mapenzi unakusumbua tu. Kwakuwa ulishasikia tanga-mapenzi basi umejipeleka kichwa kichwa unakuja kutoa shuhuda za hovyo apa.

kama hujaelewa soma comments.
Kwanza wewe ulishawai kuwa na mwanamke wa kitanga ile tanga asilia achana na waliokulia Dar ? Maana labda huelewi nnachozungumza kwa kuwa huna experience nao.
 
Hebu leteni hizo takwimu zinazothibitisha kuwa wanaachika
Niliwai kuishi Dar es salaam, mtaa mmoja unaitwa Azimio Tandika. Kwa kweli nimekutana na wanawake kadhaa wa tanga(watu wazima 45 - 60 ) ambao walikuwa wanalea watoto wenyewe. Nyakati fulani unaeweza usiwaone watoto wao ukiuliza utaambiwa wamekwenda kwa baba zao.
 
Back
Top Bottom