Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

dah mleta mada wewe umepatwa ila mimi nilimpata mmoja huyo,nahisi yule alikuwa na pepo maana kila saa anataka awe kifuani nakumbuka ndo alikuwa yupo likizo nakumbuka hela yake ya likizo aliitumia yote tukiwa ndani tualikuwa hataki nitoke nje ndani ya week 3 sikukanyaga nje,wapangaji wakawa wanaskia inavyoilalamikia basi toka hapo ilikuwa wakiskia tu unafngua mlango uende uani basi ote wanatoka mwenye kuvaa kanga moja mwenye kuvaa night dress maana nyumba ilikuwa ina viji apartment wapngaji kama watano,mwisho waume zao wakaniweka chini wakanipa mkwala mi nacheka tu.
dah sitaisahau tanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi niliwai kukamatwa na mtoto wa kitanga ndani ya saare tanga.
nimekuja kushtuka kupata akili nishakula mpaka nauli.
nikaomba lift kwenye fuso imebeba nazi kuja dar.

astakafilulaaa wee !!!!!nilikuwa na safari ya mbeya moyo ukaiambia akili "pitia short cut ya tanga ukampe hai mariam mjata mtoto wa kitanga akupe raha kisha uondoke"
akili yangu ikakataa katakata hakuna short cut ya kwenda mbeya uzungukie tanga bali ni nyege tu na mahaba ya yule binti mtanga.
nikanyoosha one way mpaka mbeya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenivunja sana mbavu. Sasa hizi habari ukiwaambia ambao hayajawakuta hawaamini, eti wanahisi ni udhaifu. Mimi nawaambia ngoja yawakute.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mimi niliwai kukamatwa na mtoto wa kitanga ndani ya saare tanga.
nimekuja kushtuka kupata akili nishakula mpaka nauli.
nikaomba lift kwenye fuso imebeba nazi kuja dar.

astakafilulaaa wee !!!!!nilikuwa na safari ya mbeya moyo ukaiambia akili "pitia short cut ya tanga ukampe hai mariam mjata mtoto wa kitanga akupe raha kisha uondoke"
akili yangu ikakataa katakata hakuna short cut ya kwenda mbeya uzungukie tanga bali ni nyege tu na mahaba ya yule binti mtanga.
nikanyoosha one way mpaka mbeya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli samaki hufuata ndoano, umenusurika[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mzee mmoja miaka ya 90 alikuja Tanga field akajikuta amepitiliza muda wake na maisha yanaendelea na toto mmoja wa kibondei limemchengua yaani kasahau familia yake uko alipotoka

Ndipo ndugu zake nao wakapiga ndumba akastuka kidogo, akapanda basi kurudi lakini alivyofika daraja la wami, akasimamisha bus na kumwambia dereva anaomba kushuka maana amesahau koti lake ndipo watu wanashangaa na kucheka sana wakasema Tanga ukiingia hutoki tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Yaani ni hatari. Mi nawaambia kama una familia basi kaa mbali na toto la kitanga.
 
Habari za jioni.

Kuna jambo nimejifunza ila nimechelewa sana kulijua. Lakini huu ndo ukweli. Naamini wanawake wa Kitanga kuna sehemu wanakwenda kufundishwa mambo. Kwa sababu hakuna mwanamke anaejua kumnasa mwanaume kama mwanamke wa kitanga.

Mwanamke wa kitanga akikutaka anakupata. Tena bila hata kukutongoza. Na hela utampa hata asipokuomba. Yamenikuta. Ile mitego aloniwekea nilinasa kilaini sana licha ya kuwa na msimamo. Hapa unapoona nimeshamlipia na kodi japo hajaniomba.

Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika.

Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
Ukiwa mpumbavu lazima akupate
 
Wanawake wengi wa kitanga hawadumu kwenye mahusiano kwanza inabidi ujue culture yao watu wa Tanga hasa wanawake kwenye mahusiano ,mwanamke wa kitanga yeye kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwake ni kawaida kabisa halafu wao mara nyingi haogopi mapenzi kuvunjika ila inabidi ufahamu pia kama sio mtu wa huko akikupenda ujue una kitu mfukoni halafu pia mwanaume wa bara huwezi kuishi na mwanamke wa Tanga labda ukubali yeye ndio awe ana sauti ndani kingine wanawake wajanja wengi hawawapendi wanaume wa Kitanga sababu ikisemekana wanaume wengi watanga hawapendi kazi ngumu kwenye utafutaji wao kuuza genge yaan zile kazi lain lain ila kwa wewe kama mpk umeleta uzi humu maana yake akili imeanza kukurudi maana hapo umekamatwa
Asante kwa kunipa elimu hii. Kwahiyo wanawake wa kitanga kinachowaponza ni kukosa uaminifu. Mimi ni mtu wa bara. Unanishaurije mkuu ?
 
Binafsi nimezaliwa Tanga, nimekulia huko, NAONA WAGENI WAKIPATA UTAMU WENYE TAABU IZO, wahusika hatufanyiwi hivyo
Habari za jioni.

Kuna jambo nimejifunza ila nimechelewa sana kulijua. Lakini huu ndo ukweli. Naamini wanawake wa Kitanga kuna sehemu wanakwenda kufundishwa mambo. Kwa sababu hakuna mwanamke anaejua kumnasa mwanaume kama mwanamke wa kitanga.

Mwanamke wa kitanga akikutaka anakupata. Tena bila hata kukutongoza. Na hela utampa hata asipokuomba. Yamenikuta. Ile mitego aloniwekea nilinasa kilaini sana licha ya kuwa na msimamo. Hapa unapoona nimeshamlipia na kodi japo hajaniomba.

Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika.

Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah mleta mada wewe umepatwa ila mimi nilimpata mmoja huyo,nahisi yule alikuwa na pepo maana kila saa anataka awe kifuani nakumbuka ndo alikuwa yupo likizo nakumbuka hela yake ya likizo aliitumia yote tukiwa ndani tualikuwa hataki nitoke nje ndani ya week 3 sikukanyaga nje,wapangaji wakawa wanaskia inavyoilalamikia basi toka hapo ilikuwa wakiskia tu unafngua mlango uende uani basi ote wanatoka mwenye kuvaa kanga moja mwenye kuvaa night dress maana nyumba ilikuwa ina viji apartment wapngaji kama watano,mwisho waume zao wakaniweka chini wakanipa mkwala mi nacheka tu.
dah sitaisahau tanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kweli wanapenda sana ngoni. Ila kwa kupenda ngobo hawawafikii wanawake wasukuma wa shinyanga. Wale ndi balaa.
 
Malizia kazi iliyokupeleka rudi, mpka hapo ukiendelea zaidi waweza poteana nakuanza life upya
 
Back
Top Bottom