Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala Balaa Tupu

Nilitaka kusema kitu lakini nikakumbuka kuwa hii ni nchi ya ki demokrasia na hii ndio demokrasia yenyewe
 
hilo paja kulia limepigwa shot?
 
mbona picha ya Linah na Diamond kwenye Fiesta ya mwaka...201...?!
 
Hahahaaaa. Mie Mtanga ujue.

Watu wa Tanga huwa tuna stara hivyo mambo ya chumbani hatuwezi kuyafanya hadharani hata siku moja. Ukiona mtu anajifanyia mambo ya ajabu ujue anatumia kivuli cha Utanga ila sio Mtanga.
Kumbe wanawaonea tu Eeeh!,haya poleni sana Dada zangu wa Tanga.
 
Hahahaaaa. Mie Mtanga ujue.

Watu wa Tanga huwa tuna stara hivyo mambo ya chumbani hatuwezi kuyafanya hadharani hata siku moja. Ukiona mtu anajifanyia mambo ya ajabu ujue anatumia kivuli cha Utanga ila sio Mtanga.
Kumbe we ni mtoto wa kitanga,aisee[emoji4] [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…