Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

JF vidume tunaisha [emoji23][emoji706][emoji706]
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara.

Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba.

NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto siitaji demu. Kama kuna ambaye yupo tayari plz njoo inbox.
Dume shupa
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara.

Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba.

NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto siitaji demu. Kama kuna ambaye yupo tayari plz njoo inbox.
Ili uzae naye sii lazima awe demu?
 
Kuna jamaa amefanya kama unavotaka ww ila demu kajengewa nyumba kali tu + hela na matunzo ya mtoto,naona ww unataka bure kabisa..
Sio bure mkuu mambo mengine ni yakuyajenga inbobo. Siwezi kuweka Kila kitu hazarani ndio maana nilisema nitamtunza mtoto na pia hauzi kumtunza mtoto bila mamake kufaidi.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara.

Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba.

NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto siitaji demu. Kama kuna ambaye yupo tayari plz njoo inbox.
safi sana, Tukatae Ndoa kwa nguvu zote
 
Back
Top Bottom