Mwanamke wa kuzaa naye

Mwanamke wa kuzaa naye

Umri: 31.
Kazi: mjasiriamali
Nia: mwanamke wa kuzaa naye mtoto.

Swali 1: Ni changamoto gani unazokutana nazo katika kutafuta wanawake katika mazingira yanayokuzunguka mpaka kukupelekea kuanza kutafuta mtandaoni, ukilinganisha wewe ni mjasiriamali na nina uhakika unakutana na watu wengi katika harakati za shughuli zako, hakuna hata mmoja uliyebahatika? Kama hapana kwanini?

Swali 2: Kwanini wa kuzaa naye tu watoto na ndoa kuwekwa kama optional?? Nia yako ni watoto tu? Na kwanini watoto?

Umri wako mkuu ni ajabu sana kutafuta mwanamke wa kuzaa naye tu tena mtandaoni, lazima kuna kitu hakipo sawa kwako.

Shekeli mkuu tatizo shekelii
 
Mkuu sidhan kama utampata mwanamke wa vigezo vyako, labda huyo mwanamke awe zwazwa
 
Umri: 31.
Kazi: mjasiriamali
Nia: mwanamke wa kuzaa naye mtoto.

Swali 1: Ni changamoto gani unazokutana nazo katika kutafuta wanawake katika mazingira yanayokuzunguka mpaka kukupelekea kuanza kutafuta mtandaoni, ukilinganisha wewe ni mjasiriamali na nina uhakika unakutana na watu wengi katika harakati za shughuli zako, hakuna hata mmoja uliyebahatika? Kama hapana kwanini?

Swali 2: Kwanini wa kuzaa naye tu watoto na ndoa kuwekwa kama optional?? Nia yako ni watoto tu? Na kwanini watoto?

Umri wako mkuu ni ajabu sana kutafuta mwanamke wa kuzaa naye tu tena mtandaoni, lazima kuna kitu hakipo sawa kwako.
Mbona hawa mnaowaita "single mothers" wamezaa/ wamezalishwa na watu wenye umri kama wa huyo jamaa tu.


Huyu amekuwa muwazi kuwa anachotaka ni kuzaa na mtu na sio ujanja ujanja wa vijana wa kuwatia mimba akina dada kisha wanapotea.

Inawezekana kuna binti pia hitaji lake ni mtoto na sio ndoa.

Kwa nini Watanzania hampendi ukweli? Unataka aandike anataka kuoa wakati sicho anachotaka?

Hizi dini zilizokuja na Wazungu (wakoloni) na Waarabu ( watesaji na wafanya biashara ya watu) ndizo unataka zimuamulie jamaa namna ya kuishi?



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
kuna mtu asietaka K ya bure ?

mkuu, wakija wengi nipasie mmoja aisee
 
Back
Top Bottom