Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #41
Ila maajabu anasema tufanye siri ili asiniharibieYeah usisanaue mapema mkuu ile ofisi haitaki laana sikuhizi
Elimu haina mwishoBado haujayaona, kuwa kwanza uyaone.
Yaan mimi ndio wakunikaribisha mjini kweli??Karibu mjini mwanetu, huku kikubwa akili tu.
Utoto unatia mimba au sio??Utoto raha sana
Mpaka nkutie mimba na wewe??acha uzinzi
Ilibidi uandike kwa mfumo huu๐Wasalaam,
Ebana sina mengi sana, ila ni kwamba nimeingizwa mjini kiasi cha kuharibu msimamo wangu niliojiwekea maishani mwangu. Iko hivi nimekua na mahusiano tofauti tofauti kwa wakati mmoja huku nikizingatia usalama wa Afya yangu (lazima tupime VVU) kabla ya kula mzigo.
Kwa bahati nzuri hawa mademu nakuaga nao wananikubali sana yaani ni kama makondoo kwangu na mi mchunga wao, kila nisemalo wanafuata.
Hasa kwenye kipengele cha kushika mimba (maana karibu wote wanataka kubeba mimba yangu) sasa nimewapiga biti kwamba wakibeba tu mi napiga chini kabisa na kuikana hio mimba, so ka anataka asubiri nikimuoa.
So mambo ya kumimina nje ya kikombe mi sio shida kwangu akizingua namgonga P2.
Sasa nilitokewa mtandaoni WhatsApp group ya kuuza vitu online na dada mmoja single maza kutoka mkoani huko wale wa kujinyonga.
Sikua na hiyana nikijua yuko mbali ntamzuga zuga bana na hivo nimeona ni mkubwa kanizidi ka 3 yrs. Kumbe bana alikua serious akajilipia nauli mwenyewe mpaka Dar, nikagonga show moja hatari saana maana ye mwenyewe ni master ukiwa mzembe anakukata pumzi, basi alizidi kunielewa akaniambia hata nifanyeje hapindui maana hajawahi kutana na mwanaume wa Dar strong hivi ka natoka milimani huko๐๐
Kurudi huko mkoani kila saa msg simu fulu vurugu ameimiss amenimiss akafunga tena safari akaja tena kama kawa ila baada ya first round bila ku withdraw ananiambia yupo siku 15 hivo anaweza shika mimba, nikamwambia ni makosa akasema atakunywa P2 nikasema ๐. Siku ya 3 ananiambia ndo amemeza P2.
Akawa analalamika anajiskia vibaya nikamwabia ni dawa izo so hali ilipo zidi anadai ameenda hospital amekutwa na ujauzito, na anadai ni wangu hivo amechanganyikiwa hajui afanyeje!
Sikumjibu kitu, akaja na wazo aitoe nikamwambia sijawahi na sitowahi kumshawishi mtu atoe mimba, so ataamua chakua amua nami nitamkubali mtoto mpaka hapo atakapo zaliwa na kumpima DNA. JE, NIKO SAHIHI?
Bonge la fact ndo mana nimekataa abortionwameshtuka wadada wengi wanabeba mimba za watu so kua avoid watoto wasio na wazazii wengi majibu n + labda uwe na nduguyako upande wa mwanaume kule aamue kujilipua kukupa ukweli
familia nyingi zinaishi na watoto wa watu zinatunza chasska sasa ujue Mungu alivto fundi yule unaemuhisi sio wakooo yaan kuanzia shule kimaishaa anakuja kutoboa kulikoo unavyofikfirii
M ukweli natunza woteeee hatakama wa kakayangu ama lah m natunza tu ipo siku watanikumbuka dady alipambana na sisi woiiiiiii kisa cha kufa uzee huu nani anataka
Nuksi izi unaletaKwa sifa zilezile za kuwala ndo kwa sifa hizohizo utalea
Kmmk๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ fwala saana weweIlibidi uandike kwa mfumo huu๐
Kichwa Cha Habari: RIJALI WA MJINI
Kiini:
Dada zangu mnao soma uzi huuโฆnaitwa Baba_______, mimi ni malierโฆ Rijaliโฆnajua kukazana sana, ila pesa sinaโฆnauli una jilipia.
Ukipata mimba utalea mwenyewโฆjeโ unataka kuenjoy kama ambavyo wenzako hua wana enjoy? Karibu pm.
NB: Wamama nawamudu pia
Hitimisho: 07xxxxxxxx.
๐Uhaya mwingi sana๐
๐๐๐๐ซต๐ซต๐ซตcodeKmmk๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ fwala saana wewe
DNA ya nini wakati ulienda kavu kavu we lea hata kama si wako binti kaona wewe unayaweza.Wasalaam,
Ebana sina mengi sana, ila ni kwamba nimeingizwa mjini kiasi cha kuharibu msimamo wangu niliojiwekea maishani mwangu. Iko hivi nimekua na mahusiano tofauti tofauti kwa wakati mmoja huku nikizingatia usalama wa Afya yangu (lazima tupime VVU) kabla ya kula mzigo.
Kwa bahati nzuri hawa mademu nakuaga nao wananikubali sana yaani ni kama makondoo kwangu na mi mchunga wao, kila nisemalo wanafuata.
Hasa kwenye kipengele cha kushika mimba (maana karibu wote wanataka kubeba mimba yangu) sasa nimewapiga biti kwamba wakibeba tu mi napiga chini kabisa na kuikana hio mimba, so ka anataka asubiri nikimuoa.
So mambo ya kumimina nje ya kikombe mi sio shida kwangu akizingua namgonga P2.
Sasa nilitokewa mtandaoni WhatsApp group ya kuuza vitu online na dada mmoja single maza kutoka mkoani huko wale wa kujinyonga.
Sikua na hiyana nikijua yuko mbali ntamzuga zuga bana na hivo nimeona ni mkubwa kanizidi ka 3 yrs. Kumbe bana alikua serious akajilipia nauli mwenyewe mpaka Dar, nikagonga show moja hatari saana maana ye mwenyewe ni master ukiwa mzembe anakukata pumzi, basi alizidi kunielewa akaniambia hata nifanyeje hapindui maana hajawahi kutana na mwanaume wa Dar strong hivi ka natoka milimani huko๐๐
Kurudi huko mkoani kila saa msg simu fulu vurugu ameimiss amenimiss akafunga tena safari akaja tena kama kawa ila baada ya first round bila ku withdraw ananiambia yupo siku 15 hivo anaweza shika mimba, nikamwambia ni makosa akasema atakunywa P2 nikasema ๐. Siku ya 3 ananiambia ndo amemeza P2.
Akawa analalamika anajiskia vibaya nikamwabia ni dawa izo so hali ilipo zidi anadai ameenda hospital amekutwa na ujauzito, na anadai ni wangu hivo amechanganyikiwa hajui afanyeje!
Sikumjibu kitu, akaja na wazo aitoe nikamwambia sijawahi na sitowahi kumshawishi mtu atoe mimba, so ataamua chakua amua nami nitamkubali mtoto mpaka hapo atakapo zaliwa na kumpima DNA. JE, NIKO SAHIHI?
Hizo papa unazopita ndo zinabeba nuksiNuksi izi unaleta
uuUtoto bado mwingi, ukikua utaacha.
Ntolee uchuro apaHizo papa unazopita ndo zinabeba nuksi
Hujui watu wanapigwa pesa za abortion fake?? Au kulea mimba zisizowahusu??Nkajua kakuingiza mjini kwa maswala ya pesa, kakupiga kibunda.
Vijana wa mjini tukisikia neno kuingizwa mjini kwenye story tunasoma ili tuone mbinu mpya. Kumbe unazungumzia mimbo boy
Nayaweza wap wakati kila kitu anajigharimia mwenyewe?? Sema anajimudu kimaisha ndo manaDNA ya nini wakati ulienda kavu kavu we lea hata kama si wako binti kaona wewe unayaweza.
Kwamba mimba sio yangu au sio??shtuka bwege ww๐