Mwanamke wa mkoani kaniingiza mjini, naomba msaada wenu

Ilibidi uandike kwa mfumo huu๐Ÿ‘‡

Kichwa Cha Habari: RIJALI WA MJINI

Kiini:

Dada zangu mnao soma uzi huuโ€ฆnaitwa Baba_______, mimi ni malierโ€ฆ Rijaliโ€ฆnajua kukazana sana, ila pesa sinaโ€ฆnauli una jilipia.

Ukipata mimba utalea mwenyewโ€ฆjeโ€™ unataka kuenjoy kama ambavyo wenzako hua wana enjoy? Karibu pm.

NB: Wamama nawamudu pia

Hitimisho: 07xxxxxxxx.

๐Ÿ˜‚Uhaya mwingi sana๐Ÿ˜‚
 
Bonge la fact ndo mana nimekataa abortion
 
Kmmk๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ fwala saana wewe
 
DNA ya nini wakati ulienda kavu kavu we lea hata kama si wako binti kaona wewe unayaweza.
 
Nkajua kakuingiza mjini kwa maswala ya pesa, kakupiga kibunda.
Vijana wa mjini tukisikia neno kuingizwa mjini kwenye story tunasoma ili tuone mbinu mpya. Kumbe unazungumzia mimbo boy
 
Nkajua kakuingiza mjini kwa maswala ya pesa, kakupiga kibunda.
Vijana wa mjini tukisikia neno kuingizwa mjini kwenye story tunasoma ili tuone mbinu mpya. Kumbe unazungumzia mimbo boy
Hujui watu wanapigwa pesa za abortion fake?? Au kulea mimba zisizowahusu??
 
DNA ya nini wakati ulienda kavu kavu we lea hata kama si wako binti kaona wewe unayaweza.
Nayaweza wap wakati kila kitu anajigharimia mwenyewe?? Sema anajimudu kimaisha ndo mana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ