Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Duh! AiseeNoma Sana.
Demu wa Uswahilini na wa Ushuani wote akili zao zinafanana wanatofautiana utanashati/personality.
_Huyu atavaa wigi la afutatu huyu atavaa Brazilian air
-Huyu atavaa dera huyu atavaa LV
-Huyu atapaka mkorogo wa afusaba huyu wa laki 5
-Huyu atatumiwa afusita ya nauli huyu atafatwa na gari au atalipiwa Uber.
-Huyu atagongewa guest za afumbili huyu atagongewa hotelini
Masaki ndio wapiWewe ukifanya sex hausemi kuwa ni source of income, lakini akifanya wa uswahilini ndio unasema anafanya kwa sababu ana shida ya pesa? Acha dharau wewe mtoto wa Masaki.
NakaziaNi haki yako ya kifikra kuchukulia ulivyochukulia ndugu na si jukumu langu kukuaminisha tofauti . Unayakini gani kuwa siishi maisha ya uswahlini kiasi cha kujua nini hasa kinachoendelea.
Nilichoandika ni uhalisia wa asilimia kubwa ya wanawake wa kiswahili, wewe iite dhihaka mimi naita ukweli. Kwa vile tu jambo haliridhishi basi halizuiwi kuongelewa kwa hofu ya kusema ni dhihaka.
By the way kuna utofauti mkubwa baina ya ustaarabu na ufukara. Hali yako ya kimaisha haipaswi kuwa muamuzi wa maisha yako binafsi. Wazee wetu walikuwa mafukara lakini hawakujidhalilisha kama wafanyavyo hawa wa sasa katika jina la uswahili na mbaya zaidi wengi wao wanaishi uswahilini hivyo ulitaka niwanasibisha na uhindini au?
Kabla ya kutuhumu tafakari kwanza mada inahusu nini hasa.
Uwe na mchana mwema chief.
Achana nae watu wa humu Kwa mbwebwe hawajambo
Nawe hapo packers wafanya nini??Wamejaa Packers na midela yao wanasubiria miujiza
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nasubiria mbususu za bure kawe beachNawe hapo packers wafanya nini??
SijuiMasaki ndio wapi
🤣🤣🤣🤣wehu wamoja!Yaani watu wa humu wanaocheka wenzao, ndio wanaohitaji msaada
Tatizo kujitia wa ushuani kumbe njaa tupu wanaishi kwa mama kibonge na getini kwao wameandika tunauza ice cream na barafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wehu wamoja!
Nani kakudanganya? Uswahilini ni moja ya sehemu ambayo watu wanafariki kwa magonjwa kwa wingi.Na watu wana afya nzuri tu. Hawana kisukari wala presha😅😅
Unaonekana ni mtu muungwana Sana. Uishi milele mkuu[emoji120]Hii mada inalenga kukejeli watu wa vipato vya chini kwa maana wao ni fukara. Masikini wasifanyiwe dhihaka. Waombeeni ili wao pia waje kuwa na maisha kama yenu nyie wa Masaki na OysterBay.
Tabia na maisha ya uswazi ni ya kujitakia. Mbona mikoani huko vijijini watu wanaishi kwenye umaskini kuliko hata Uswazi lakini wakazi wake wana tabia nzuri? Ukitaka kujua wanawake wa Uswazi (siyo wote lakini asilimia kubwa) wana tabia za ajabu basi oa mmoja. Familia yetu ni wahanga wa kuoa Uswazi. Nyingi ya tabia zilizoelezewa hapa ni kweli. Na sasa hivi imeongezeka moja ya kufanya birthday (wenyewe wanaita besidei) na sherehe nyingine nyingi za kuiga wazungu kama babyshower. Ni ulimbukeni kwenda mbele. Vijembe vya zamani vya kwenye kanga siku hizi vimehamia kwenye Facebook na Insta.Kwani bording ni bei gani
Kama mtu yuko radhi akope kwa kausha damu ili akamtunze shoga yake, anunue vijora vipya kila siku afanye birthday kila week utasema hana hela huyo ni kwamba kuna mambo ya kijinga anayapa kipaumbele zaidi ya mambo ya msingi
So hiyo ni tabia yake na sio umaskini
Hakuna mtu anadhihaki hapa tunaongelea ukweliii
Be thankful wazazi/ukoo wako wameiona dunia mapema na kujiongeza, of course pesa sio kila kitu kwa mtu kujitambua, wako we ye pesa kama majani lkn maisha yao ni ovyo hawajitambui, cha msingi kama umepata nafasi mungu akakufungulia dunia usiwadharau wenzio, haya ni maisha tu hata ujue kila kitu bado hakutokuwa na tofauti yoyote kama binaadamu.Acha kuwa negative… hakuna mtu anawadhihaki watu wa uswazi halafu asilimia 90 watz wengi wametokea uswazi na kuwa ushuani
Huyo diamond si katokea tandale nani alimshika mkono si juhudi zake peke ake matajiri kibao wameanziaa uswazii
Kingine mimi pia nimekulia uswazi na nawajua kindakindaki japo sina hata tabia moja za kiswazi
Malezi mabovu ya wazazi na watoto kutokujitambua vinapelekea wawe na tabia za hovyo watoto wa rika langu niliosoma nao karibia wote wameishia la 7 wengine form 2 wengine 4 failure mbona mimi sikuishia hapo hii ni kutokana na wazazi wangu walipambana hawakutaka ujinga na sio suala la kuwa na hela
So hakuna mtu anawakejeri hapo ni ndivyo walivyo na wanafanya kwa kupenda wala sio umaskinii na asili na tabia zao na ndio furaha yao kuwa hivyo hata apate pesa nyingi bado atafanya sherehe ya kumsuta mtu tabia ni ngoziiii
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji120]Ngoja siku ukiwa mkubwa ndio utajua maisha ni nini. You're too young to understand what it takes to be a man.
Umemaliza Kila kituWanapenda kuvaa dera bila chupi.
Mafundi vitandani, ukienda kizembe lazima utangaziwe kuwa kimoko chali.
Maisha yao ya ngono sio siri. Kwao ni sifa kutangaza jinsi walivyofanywa na mabwana zao na ndio maana ni rahisi kutembea na marafiki hata 10 kutokana na jinsi wanavyohadithiana.
Hawana gharama kubwa za maintainance, kuanzia nywele mpaka kiatu inaweza isigharimu hata 50,000.
Wanapenda sana kuvaa sare. Ikitoka design mpya ya nguo sio ajabu ukakuta mtaa mzima kila mtu anayo. Na wanahakikisha inavaliwa mpaka iombe poo.
Hawana hiyana kwenye kugawa papuchi hivyo uzoee kugongewa.
Wanaamini mno katika shirki. Akiumwa kichwa lazima aende kwa babu kutazamia.
Wanapenda sana ugomvi, kitu kidogo tu wanachapana.
Wana asili ya uchafu, mtu kuamka na kuanza kuzurula mji mzima bila kuoga ni kawaida.
Wanapenda sana kuazimana vitu. Sio ajabu wakaazimana mpaka chupu
😅😅Nani kakudanganya? Uswahilini ni moja ya sehemu ambayo watu wanafariki kwa magonjwa kwa wingi.
A wordBe thankful wazazi/ukoo wako wameiona dunia mapema na kujiongeza, of course pesa sio kila kitu kwa mtu kujitambua, wako we ye pesa kama majani lkn maisha yao ni ovyo hawajitambui, cha msingi kama umepata nafasi mungu akakufungulia dunia usiwadharau wenzio, haya ni maisha tu hata ujue kila kitu bado hakutokuwa na tofauti yoyote kama binaadamu.
Sahihi kabisa.Kwani bording ni bei gani
Kama mtu yuko radhi akope kwa kausha damu ili akamtunze shoga yake, anunue vijora vipya kila siku afanye birthday kila week utasema hana hela huyo ni kwamba kuna mambo ya kijinga anayapa kipaumbele zaidi ya mambo ya msingi
So hiyo ni tabia yake na sio umaskini
Hakuna mtu anadhihaki hapa tunaongelea ukweliii