Mwanamke wa uswahilini

Mwanamke wa uswahilini

Noma Sana.

Demu wa Uswahilini na wa Ushuani wote akili zao zinafanana wanatofautiana utanashati/personality.

_Huyu atavaa wigi la afutatu huyu atavaa Brazilian air
-Huyu atavaa dera huyu atavaa LV
-Huyu atapaka mkorogo wa afusaba huyu wa laki 5
-Huyu atatumiwa afusita ya nauli huyu atafatwa na gari au atalipiwa Uber.
-Huyu atagongewa guest za afumbili huyu atagongewa hotelini
Duh! Aisee
 
Ni haki yako ya kifikra kuchukulia ulivyochukulia ndugu na si jukumu langu kukuaminisha tofauti . Unayakini gani kuwa siishi maisha ya uswahlini kiasi cha kujua nini hasa kinachoendelea.

Nilichoandika ni uhalisia wa asilimia kubwa ya wanawake wa kiswahili, wewe iite dhihaka mimi naita ukweli. Kwa vile tu jambo haliridhishi basi halizuiwi kuongelewa kwa hofu ya kusema ni dhihaka.

By the way kuna utofauti mkubwa baina ya ustaarabu na ufukara. Hali yako ya kimaisha haipaswi kuwa muamuzi wa maisha yako binafsi. Wazee wetu walikuwa mafukara lakini hawakujidhalilisha kama wafanyavyo hawa wa sasa katika jina la uswahili na mbaya zaidi wengi wao wanaishi uswahilini hivyo ulitaka niwanasibisha na uhindini au?

Kabla ya kutuhumu tafakari kwanza mada inahusu nini hasa.

Uwe na mchana mwema chief.
Nakazia
 
Yaani watu wa humu wanaocheka wenzao, ndio wanaohitaji msaada

Tatizo kujitia wa ushuani kumbe njaa tupu wanaishi kwa mama kibonge na getini kwao wameandika tunauza ice cream na barafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣wehu wamoja!
 
Kwani bording ni bei gani

Kama mtu yuko radhi akope kwa kausha damu ili akamtunze shoga yake, anunue vijora vipya kila siku afanye birthday kila week utasema hana hela huyo ni kwamba kuna mambo ya kijinga anayapa kipaumbele zaidi ya mambo ya msingi

So hiyo ni tabia yake na sio umaskini

Hakuna mtu anadhihaki hapa tunaongelea ukweliii
Tabia na maisha ya uswazi ni ya kujitakia. Mbona mikoani huko vijijini watu wanaishi kwenye umaskini kuliko hata Uswazi lakini wakazi wake wana tabia nzuri? Ukitaka kujua wanawake wa Uswazi (siyo wote lakini asilimia kubwa) wana tabia za ajabu basi oa mmoja. Familia yetu ni wahanga wa kuoa Uswazi. Nyingi ya tabia zilizoelezewa hapa ni kweli. Na sasa hivi imeongezeka moja ya kufanya birthday (wenyewe wanaita besidei) na sherehe nyingine nyingi za kuiga wazungu kama babyshower. Ni ulimbukeni kwenda mbele. Vijembe vya zamani vya kwenye kanga siku hizi vimehamia kwenye Facebook na Insta.
 
Acha kuwa negative… hakuna mtu anawadhihaki watu wa uswazi halafu asilimia 90 watz wengi wametokea uswazi na kuwa ushuani

Huyo diamond si katokea tandale nani alimshika mkono si juhudi zake peke ake matajiri kibao wameanziaa uswazii

Kingine mimi pia nimekulia uswazi na nawajua kindakindaki japo sina hata tabia moja za kiswazi

Malezi mabovu ya wazazi na watoto kutokujitambua vinapelekea wawe na tabia za hovyo watoto wa rika langu niliosoma nao karibia wote wameishia la 7 wengine form 2 wengine 4 failure mbona mimi sikuishia hapo hii ni kutokana na wazazi wangu walipambana hawakutaka ujinga na sio suala la kuwa na hela

So hakuna mtu anawakejeri hapo ni ndivyo walivyo na wanafanya kwa kupenda wala sio umaskinii na asili na tabia zao na ndio furaha yao kuwa hivyo hata apate pesa nyingi bado atafanya sherehe ya kumsuta mtu tabia ni ngoziiii
Be thankful wazazi/ukoo wako wameiona dunia mapema na kujiongeza, of course pesa sio kila kitu kwa mtu kujitambua, wako we ye pesa kama majani lkn maisha yao ni ovyo hawajitambui, cha msingi kama umepata nafasi mungu akakufungulia dunia usiwadharau wenzio, haya ni maisha tu hata ujue kila kitu bado hakutokuwa na tofauti yoyote kama binaadamu.
 
Wanapenda kuvaa dera bila chupi.

Mafundi vitandani, ukienda kizembe lazima utangaziwe kuwa kimoko chali.

Maisha yao ya ngono sio siri. Kwao ni sifa kutangaza jinsi walivyofanywa na mabwana zao na ndio maana ni rahisi kutembea na marafiki hata 10 kutokana na jinsi wanavyohadithiana.

Hawana gharama kubwa za maintainance, kuanzia nywele mpaka kiatu inaweza isigharimu hata 50,000.

Wanapenda sana kuvaa sare. Ikitoka design mpya ya nguo sio ajabu ukakuta mtaa mzima kila mtu anayo. Na wanahakikisha inavaliwa mpaka iombe poo.

Hawana hiyana kwenye kugawa papuchi hivyo uzoee kugongewa.

Wanaamini mno katika shirki. Akiumwa kichwa lazima aende kwa babu kutazamia.

Wanapenda sana ugomvi, kitu kidogo tu wanachapana.

Wana asili ya uchafu, mtu kuamka na kuanza kuzurula mji mzima bila kuoga ni kawaida.

Wanapenda sana kuazimana vitu. Sio ajabu wakaazimana mpaka chupu
Umemaliza Kila kitu
 
Be thankful wazazi/ukoo wako wameiona dunia mapema na kujiongeza, of course pesa sio kila kitu kwa mtu kujitambua, wako we ye pesa kama majani lkn maisha yao ni ovyo hawajitambui, cha msingi kama umepata nafasi mungu akakufungulia dunia usiwadharau wenzio, haya ni maisha tu hata ujue kila kitu bado hakutokuwa na tofauti yoyote kama binaadamu.
A word
 
Kwani bording ni bei gani

Kama mtu yuko radhi akope kwa kausha damu ili akamtunze shoga yake, anunue vijora vipya kila siku afanye birthday kila week utasema hana hela huyo ni kwamba kuna mambo ya kijinga anayapa kipaumbele zaidi ya mambo ya msingi

So hiyo ni tabia yake na sio umaskini

Hakuna mtu anadhihaki hapa tunaongelea ukweliii
Sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom