Mwanamke wa uswahilini

1) Mwanamke kujipamba.
2) Bajeti si ufanye wewe mtafutaji, laki nayo umeiona pesa ya maana siku hizi?
3) Unataka siri si uhame Uswahilini, nyumba yenyewe wapangaji kibao.
4)Khaa, kwani nyumba ya geti hamna majirazni?
5) Hayo siyo Uswahilini, hukohuko kwenu. Uswahilini hatuna "mahusiano" ama unaoa ama unasepa.

Bila "waswahili" ungejuwa Kiswahili wewe? tupishe huko.

Halafu mtu kama huyo anasema "mimi msomi".

Punguani wahed.
 
Ukiwezana nao ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝ
Nimekumbuka ule mchezo jamaa wa kishua anampenda demu wa uswazi (Shamsa Ford), familia ya mwanamme inapambana kumbadilisha tabia mwanamke aendane na wao, kumbe jamaa kampenda demu kwa mambo yake ya uswazi...kwa ufupi mwisho anamuoa na kumbwaga mchumba wake wa ushuani.
 
Umejibu kiswahili kabisa, laki nayo pesa wakati familia nzima hakuna aliyewahi kukaa na laki benki au kwenye sm yani akaitunza tu mwezi mmoja hakuna, kila pesa inapewa shughuli
 
Haaaa haaaa umeuwa balaa haya wenye wachumba uswahilini mmeona mambo haya
 
Mwamba umeua mwamba,unaweza jiuliza hivi huyumbona hana maisha binafsi??wnaapenda sana maisha yao (binafsi) yajulikane nakuamliwa na jumuiaya au majirani,mfano chakula ,mavazi,atembee nabwana flani au laaa??
 
Mwamba umeua mwamba,unaweza jiuliza hivi huyumbona hana maisha binafsi??wnaapenda sana maisha yao (binafsi) yajulikane nakuamliwa na jumuiaya au majirani,mfano chakula ,mavazi,atembee nabwana flani au laaa??
Wako radhi wakope ili tu kufanya maigizo ya ufahari. Ukichunguza ndio wateja na wahanga wakuu wa mikopo umiza.
 
1. Ni wazuri wa asili ukiona mbaya katika mkoani kajichanganya
2.Wanaishi maisha yasiyo ya maiagizo
3 . Wanajua kutunza Siri za ndani
4. Ni Wasafi wa mwili ukiona mchafu basi ni WA kienyeji sio wa uswazi
6. Wqnapenda kuvaa Madera na nguo zenye stahak
7.Wanaheshimu waume zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ