YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Tatizo wenyewe kuachika sio issue kabisaaa,,wameshakubaliana ukiona unateseka bwaga!
Hatujawahi kujali, kata mti panda mti kajambe mbeleeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wenyewe kuachika sio issue kabisaaa,,wameshakubaliana ukiona unateseka bwaga!
Nyie nyie🤣🤣🤣Urithi wa bibi.......🤣
Mbona kama wanatudiss sana,ila uandishi wao utadhani J4 wa pale Kwa Mzee Mbonde,yaani wanajua kila kitu🤣Vijora tunavaa na jeans tunapigilia, uzuri wetu watoto wa uswazi hakuna nguo inatukataa!!!
Tukiamua tunakua Mwajuma nichokonoe na tukitaka tunakuwa Nick Minaj yaani hakuna tunachoshindwa
Afu humu wote wa uswazi tofauti mitaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na miguu ya kuku weeee ,,,,hapana chezea gwala[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na chips za mia mbili
Lazima utunzweee,,,Urithi wa bibi.......🤣
🤣🤣🤣Yaani unatunzwa urithi wewe!somo anakupa mbinu za asili kuondoa weusi wote around urithi,,,hebu fanya uje hata wiki we mtoto wa kishuaNyie nyie🤣🤣🤣
Na vile mishale mingine inasoma mara wa sekunde hausomi tutajali saa ngapi Sasa?Hatujawahi kujali, kata mti panda mti kajambe mbeleeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona kama wanatudiss sana,ila uandishi wao utadhani J4 wa pale Kwa Mzee Mbonde,yaani wanajua kila kitu[emoji1787]
Haswaaa. Nilishamsahau jina 😅chausiku😂
Na miguu ya kuku weeee ,,,,hapana chezea gwala
'kuondoa weusi wote around urithi'🤣🤣🤣Yaani unatunzwa urithi wewe!somo anakupa mbinu za asili kuondoa weusi wote around urithi,,,hebu fanya uje hata wiki we mtoto wa kishua
Na vile mishale mingine inasoma mara wa sekunde hausomi tutajali saa ngapi Sasa?
Ewaaaa 😍😍😋😋😋
Na ole wake tumtunze halafu asirudishe fadhila,kitamkuta kilichomkuta Jacline Wolper asofadhila,wafadhilaka🤣🤣🤣🤣ni mwendo wa Mashalovu kudai chakeSaa mbovu sie tunawaza tukasasambue wapi leo na nikatunze nini niwakomeshe wachawi wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu Kuna mpuuzi anasema eti nihamie Masaki😍😍😍
We mbona tutakuteka tu,acha na chicken wings vinne elfu Tano,mara pizza elfu 45 Huo mzigo wote bukujeroEwaaaa 😍😍😋😋😋
Eeeeeh zile Sasa siku hizi haziwi rasmi mambo ni mengi,Sasa watoto wa uswazi wanafundishwa kila uchao hizo mbinu ndio maana watunduwatundu sana'kuondoa weusi wote around urithi'
We dada unanivunja mbavu ujue 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zamani ilikuaga Ile kuchezwa, saivi siioni.
Niliwahi shuhudia mtaani wamakonde wanawatoa ndani wali wao wamefunga vibwebwe tu kiunoni, kifuani wako waziii.
Hapo ngozi inashine balaa, wenyewe wanasema walikua wanasuguliwa na machicha ya nazi alooo
Vijana wa mtaani walikua wanafurahia Sana😂
Na wanafundishwa wakiwa wadogoEeeeeh zile Sasa siku hizi haziwi rasmi mambo ni mengi,Sasa watoto wa uswazi wanafundishwa kila uchao hizo mbinu ndio maana watunduwatu du sana
Na ole wake tumtunze halafu asirudishe fadhila,kitamkuta kilichomkuta Jacline Wolper asofadhila,wafadhilaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni mwendo wa Mashalovu kudai chake
Hawazeeki haraka na karibu wote wana wowowo kubwaNgoja tuambiane tabia za wanawake wa uswahilini, haya ni baadhi tu wengine mtaongezea kama yapo
1. Wanathamini kuvaa kuliko chakula.
2. Hawajui bajeti, ukimpa laki ya matumizi ya kawaida anaenda tafuta mganga.
3. Hawana siri kwenye mambo mazuri, akinunua kitu atahakikisha kila mtu anajua, ndio maana wanaongoza kwa visherehe visivyo na tija.
4. Hawawezi kukaa nyumba yenye geti na eneo lililotulia kwani wamezoea kushinda kwenye miji ya watu.
5. Ukiwa na mahusiano ya mapenzi basi familia nzima itajua; mama, bibi, shangazi, nk.
6. Wanapenda mikopo kausha damu, huku hawana biashara yoyote.
7. Yupo radhi auze kitu chochote ili atoe mchango wa shughuli.
Ongezea mengine kama yapo.