WA KISHUA OG
Senior Member
- Nov 3, 2024
- 127
- 338
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Nasikia ukisimamia kucha hawezi kukuacha sijui ni kweli yani tafrani..
Fact. Wanaume ndio wanaoteseka kimapenzi kuliko wanawake.Inawezekana ukawa unampenda, unamuamini au una malengo nae kwaiyo ukakataa kukubaliana na ninachokisema hapa, lakini huu ni ukweli mchungu ambao kwa kuwahi au kuchelewa kuelewa lazima ukubaliane nao.
Ukweli ni kwamba uyo mwanamke ulienae ana list ya replacements wako. Wanaume hawa kawaweka kwenye friendzone na itakapotokea selfish demands zake kutoka kwako hazijatimia basi anaswitch upande mwingine.
Kuna jamaa anasubiri uachwe ili yeye achukue nafasi, kuna jamaa wapo uko dm zake kwenye mitandao ya kijamii, kuna jamaa uko ofisini, chuoni, mtaani kwake n.k wanampigia timing.
Utakua mjinga ukifikiri uyo mwanamke wako hawazingatii hawa wanaomtongoza, utakua mjinga zaidi ukimuamini kwa sababu anakuletea kesi za hawa wanaomtongoza. Ukweli ni kwamba atakuambia kuhusu ambao hana interest nao kabisa lakini wale ambao ana interest nao hatokuambia, utakuja kugundua tu tayari ushakua replaced.
Uwezekano wa kukuacha kwa ajiri ya mwanaume mwingine mwenye mafanikio zaidi yako ni mkubwa sana. Uwezekano wa mwanamke kuwa na mafanikio kukuzidi wewe ni mkubwa zaidi. Kumbuka yeye ana thamani ambayo ni mwili wake ni suala la kukutana na mwekezaji kwenye iyo thamani yake lakini wewe hauna thamani unatakiwa kuitengeneza thamani yako.
She may dating you while you are not stable financially but you will be a fool to think she is doing you a favor. The truth is, at that point you are her better option, when the best option show up along the way she will dump you for him without considering your sacrifices.
With women nothing is certain, anything can happen at any time.
Kwanini nakuambia haya?
Sikuambii ili uachane na mwanamke wako, ili umtreat vibaya au umuogope. Nakuambia haya ili na wewe pia uwe na mpango mbadala.
Sasa nisome kwa makini. Ninaposema uwe na mpango mbadala simaanishi kwamba na wewe uwe na circle ya wanawake. Infact iyo itakurudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu uhusiano wowote na mwanamke ni liability, kwa maana iyo ukitengeneza circle na wanawake maana yake itakugharimu muda, umakini na rasilimali/hela.
Mpango mbadala ninaoumaanisha ni mafanikio yako. Work hard to be the best version of yourself, be financially stable and build your value. That's is a man's ultimate plan.
Unatakiwa kujua, mwanamke tayari anayo thamani kwenye mwili wake ya kumpa mpango mbadala, lakini mwanaume thamani iyo unatakiwa kuitengeneza kwenye akaunti yako ya benki.
Na hii ndio sababu wewe kama kijana unatakiwa kuacha mara moja kuwekeza kwa mwanamke ili upate sifa za kijinga. Your focus should be investing in yourself, your mind and your financial life. Build yourself and not a woman or relationship.
Don't put yourself under pressure to impress a woman. Women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(their private part). It just a matter of your value, build your value and see how women are senseless with their delusional entitlement.
Ukifeli kimaisha utampoteza uyo mwanamke, utapoteza furaha, amani, uhuru na hautakua na mpango mbadala.
Kwa fresh prince...aise kumbe upo mamtoni kabisa kwa wenye dunia yao. Ebwana vipi mbususu za black americans huko tamu kama za hawa watz wetu?BEL-AIR hapa Los Angeles
Karibu sana mzabzab
Namshukuru the late benjamin mkapa, i was his protege.Mchumba una kiingereza kilichonyooka balaa
Hizo options zinakuwepo kama tripple T zipo. Kama huna sura wala tako options hawana kabisaaaFa
Fact. Wanaume ndio wanaoteseka kimapenzi kuliko wanawake.
Wanawake wengi wana options nyingi kuliko sisi
Upo vizuriNamshukuru the late benjamin mkapa, i was his protege.
Tulikuwa tukikutana tunagonga english tuu😜
Ndugu usiwe mbishiii... option za kwako ni za kujimaliza... kutumia hela kubwa etc... lkn za kwake ni za kutumia resource zinazoletwaa... jua kila mwanamke anavalue kulingna na engo yake aliyojiweka.Hizo options zinakuwepo kama tripple T zipo. Kama huna sura wala tako options hawana kabisaaa
Ata kila mwanaume ana value yake kulingana na urefu wa mfuko wake.Ndugu usiwe mbishiii... option za kwako ni za kujimaliza... kutumia hela kubwa etc... lkn za kwake ni za kutumia resource zinazoletwaa... jua kila mwanamke anavalue kulingna na engo yake aliyojiweka.
😀😀😀😀😀Hizo options zinakuwepo kama tripple T zipo. Kama huna sura wala tako options hawana kabisaaa
Bwanaa weee za watanzania huko si unajua kienyeji.. hizi za huku hazina utamu kama makuku ya kizungu.. karibu sana nafanya kazi hapa google mkuu 😅😅Kwa fresh prince...aise kumbe upo mamtoni kabisa kwa wenye dunia yao. Ebwana vipi mbususu za black americans huko tamu kama za hawa watz wetu?
Sio waliotendwa na kupigwa tukio 😅😅Hapa wakongwe ndio watakuelewa Tu,
Kwa hiyo huko mzeya mnanyetuka tuu...ila sii nasikia huko mamtoni mlenda hamna sasa m atumia kilainishi gani? 🤣🤣🤣Bwanaa weee za watanzania huko si unajua kienyeji.. hizi za huku hazina utamu kama makuku ya kizungu.. karibu sana nafanya kazi hapa google mkuu 😅😅
Huku wananyetuka kwa kutuma silicon mkuu.. mie huwa naenda kwenye industry ya Anasbo hukoo.. $50 Hadi $150 ni baraka 😅😅Kwa hiyo huko mzeya mnanyetuka tuu...ila sii nasikia huko mamtoni mlenda hamna sasa m atumia kilainishi gani? 🤣🤣🤣
Ah kumbe ni mzee wa binary code.
Evwana ebu nikuulize hivi kweli hao wamiliki hizi billion wanazosema wanazo wee umeziona au ndio wanatupiga fix tuu
I like the mentalitySasa wee mbususu imekushinda utaweza kweli kisoda cha mzabzab 🤣🤣🤣🤣
Jamaa bwana ebu kuwa seeious nawe. Kwani kutokujua kutomber nacho ni kitu cha aibu mzeya? Sii ni sawa tuu na kutokujua kupiga boli ka aziz ki...sio kila mtu duniani atakuwa mtombajiiii mzuri the sonner u make peace with that the better u will enjoy life.
Mie mwenyewe hapa najijua na hiki kibamia changu sijui kutomber...wanawachafua tuh wanawake sema ndio hivyo wanaoenda pesa zangu🤣🤣🤣🤣
Hizo professional lexicon umeniacha kwenye makoroboi🤣🤣🤣🤣Huku wananyetuka kwa kutuma silicon mkuu.. mie huwa naenda kwenye industry ya Anasbo hukoo.. $50 Hadi $150 ni baraka 😅😅
Mie mzee wa Stream Cipher and Block Cipher.. Cryptography huku ulaya dili sanaa mwanawaneee.. Nina mchumba wangu wa kiarabu huyo 😅😅
We endelea kula mbususu za JF mwanawane.. 😅Hizo professional lexicon umeniacha kwenye makoroboi🤣🤣🤣🤣
Wanawake wa jf wanaogopa ngoma...hawafaki niwaunganishe kwenye grid ya taifaWe endelea kula mbususu za JF mwanawane.. 😅