Mwanamke wako ana mpango mbadala

Mwanamke wako ana mpango mbadala

Mkuu ulichoandika ni sahihi lakini suala la kuwa na mpango Kando pia Kama mwanaume ni uoga WA maisha.. Hapa unatakiwa ujipende wewe mwenyewe yaani jijali haswaa jinunulie vya gharama, hakikisha Tu hobby yako isiwe she . akitaka kusepa mpe na nauli . You gotta be strong man
 
Kuna manzi niliwahi date nae, Kipindi tuko kwenye mahusiano alikuwa anawasiliana na ex wake mpaka ikafikia kipindi nikamkataza. Huyu manzi tuko tumeachana nae mimi hanitafuti hata kidogo. Hii sometimes inakata stimu maana unajua ex wake uenda alikuwa na thamani kwake zaidi yako kabisa.
Hatari sii mchezo 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu ulichoandika ni sahihi lakini suala la kuwa na mpango Kando pia Kama mwanaume ni uoga WA maisha.. Hapa unatakiwa ujipende wewe mwenyewe yaani jijali haswaa jinunulie vya gharama, hakikisha Tu hobby yako isiwe she . akitaka kusepa mpe na nauli . You gotta be strong man
Mtarogwa nyieeee🤣🤣🤣🤣
Wenzenu wana njaa wanataka muwahudumie nyie mnataka kuwatosa 🤣🤣🤣🤣
 
Kuna manzi niliwahi date nae, Kipindi tuko kwenye mahusiano alikuwa anawasiliana na ex wake mpaka ikafikia kipindi nikamkataza. Huyu manzi tuko tumeachana nae mimi hanitafuti hata kidogo. Hii sometimes inakata stimu maana unajua ex wake uenda alikuwa na thamani kwake zaidi yako kabisa.
Haukupaswa kumkataza, ungemwacha immediately.
 
Niongezee tu hapo...

Wala huitaji kufeli maisha ili uachwe!

Kitu kimoja ambacho wanaume wengi hatujui ni kwamba, mwanamke hata umfanyie nini, kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha pindi akitokea mwanaume mwenye hela kuliko wewe! Wanawake wanavutiwa sana na hela kuliko kitu kingine chochote hapa duniani. Wewe simamia kucha, nyonya matundu, lamba, nk lakini akija aliekuzidi hela UNAACHWA!

Infact wanawake zetu hawa wengi hua wanaliwa sana na watu wenye hela, we sema kinachotusaidia ni kwamba wanaume wengi wenye hela hua sio wa kuchukua jumla, wao humega na kusepa! Hicho ndio kinachofanya huyo mwanamke bado upo nae mpaka leo.

Ila kiukweli kabisa akitokea tajiri fulani akaamua kukomaa na mkeo mwanangu unaachwa asubuhi na mapema ukiwa unajiona hivi.
Women are very ruthless when it comes to judging men based on their future. This is why we always urge fellow men to judge them harshly based on their past. Shida wanaume tuna-fail. Too many simps.
 
Unajionaga mwamba sana unapo Copy kule na kupaste translation. Uwe una acknowledge basi.🤣🤣 Tuliochallenge ile post unatupaa kazi kuja tena kukuchallenge wewe wakati mtoa post alikula Kona 🤣🤣
 
Wanaume wote mnaishi kwa kujihami. Ukweli ni kwamba, mambo yamebadilika. Hata wanaume wenye pesa wana tembea na wanawake wenye pesa. Nyie tu labda ndio hamjawa wajanja hhh
Hata mwanamke akiwa na hela zake atakua na matarajio ya kupata na za mwanaume pia, ndio maana ni ngumu sana kukuta mwanamke anadate na mwanaume ambae kamzidi kipato kwa sababu akifanya hivyo anapoteza haki ya kupata hela kutoka kwa mwanaume, kwanini mwanaume akupe hela wakati umemzidi kipato?.

It normal for a man to date down but women always date up.
 
Nakubaliana na ww kwa 51%hata mm kuna kidume nasubiri kife nichukue mzigo
 
Women are very ruthless when it comes to judging men based on their future. This is why we always urge fellow men to judge them harshly based on their past. Shida wanaume tuna-fail. Too many simps.
Tupo kwenye kizazi ambacho kuna population kubwa ya vijana wa kiume ambao wamezidiwa akili na wanawake.

Mwanamke hata akiwa na past chafu au anatoka kwenye familia masikini bado ataweka standard za juu kwa mwanaume anaetaka kudate nae na anajua mwanaume uyo atajitokeza tu

Lakini mwambie kijana kuhusu kuoa bikira, atakuja na visingizio kibao utasikia hao bikira wanapatikana wapi. Halafu unakita kijana uyo uyo kuoa single mother au malaya mstaafu anaona ndio gentleman sijui real man.
 
Points to note.

Mahusiano yoyote kwa mwanaume ni LIABILITY

Kuwa na mademu wengi nikuongeza liabilities
Kuwa na mademu wengi ni ishara ya mafanikio wewe....maana yake unajua kutomber vizuri
 
Unajionaga mwamba sana unapo Copy kule na kupaste translation. Uwe una acknowledge basi.🤣🤣 Tuliochallenge ile post unatupaa kazi kuja tena kukuchallenge wewe wakati mtoa post alikula Kona 🤣🤣
Wanaume wanapojadiliana masuala yao wewe nenda kaangalie Dadaz, kule ndio kuna content za level ya akili yako
 
Back
Top Bottom