Mwanamke wangu ameenda ofisini kwao na love bite shingoni. Nipo Dodoma kikazi, ijumaa narudi Dar kuonana naye

Usituletee wasaliti nyumbani mangi😀, kwani kuukye taaghi ingai?
 
Umesahau nilikwambia kuwa ilikua ni ndoto tu. Shauri yako
 
Kama umepigiwa cm na mpambe wa ofisini kuhusu kitu ambacho Wala hujakiona Kwa macho yako ,umepanic hivi , brother usioe huna kifua cha kuwa mume wa mtu!! Ndoa hutaiweza
 
Angalie usijejirusha ghorofani mzee.
Maana hamkawii kujitoa uhai
 
Ya nini ujipatie case watu wana magonjwa yao.. vipi we huko dodoma ukienda kuchoma kuku unamla mwenyewe au ndo hivyo tena wanaume kuchepuka ruksa!
N.B mama Eliza nikikukamata umeenda kwenu ukinikamata unisamehe😀
 
Mkuu pole sanaaa
 
Kuna mdau wa if alisema ili mapenzi ya mbali yadumu inabidi wote wanne muwe serious[emoji1787][emoji1787][emoji1787] take it easy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hao watu wa nne inakuaje
 
Pole Mangi ...siku hizi hakuna mwaminifu, we angalia kama anafaa kukuzalia watoto mpige mimba watoto ndo watawatambulisha huko ukweni, swala la kuoa linahitaji kujiandaa kiakili zaidi coz kuna mengi sana yanayokatisha tamaa huko kwenye ndoa
 
FANYA HEKIMA...USIENDE DAR...BAKI DOM.
N.B.
usimpigie simu wala usipokee simu yake.
Kutokupiga na kutopokea kunasaidia nini?

Kwamba jamaa amnunie demu wake ? Halafu akishanuna ndo inakuaje? Jamaa awe mpole tuu, demu wake kuna wajanja wanajilia kilaini bila kutumia nguvu, haya mambo ukiyachukulia serious sana ujue unajiumiza mwenyewe
 
iyo love bite ivi unamngata mtu kweli kama unataka kuondoka na nyama ya shingo ama ?? Nmejaribu sana lakini ola……msaada hapa
 
Mwanamke akianza ku act funny assume she is cheating. Then make a decision: stay and shut up or leave and offer no explanation.

Kuanza kumfuatilia na kumchunguza na kuleta wivu na kunegotiate naye ni upuuzi, utadharaulika.
 
Hakuna mrejesho hapa?

Au zilikuwa story za alfu lela ulele?
 
Umpige wee kama nani kaka. Kwenye mahusiano hakuna mtu anaitwa "mtu wako" kiufupi huna mamlaka juu ya huyo kiumbe, wewe na huyo mwingine ni kitu kimoja. Cha kufanya sasa kwa hili lilotokea, fanya maamzi ya busara, tulizana tafuta mwanamke unayempenda, oa rasmi kwa imani yako, mila na desturi zenu za kwenu, tulia acha kukimbizana na wanawake, usije kufa kabla ya siku zako na kuacha watu wanaokutegemea.
 
Kama hujui wanawake wanaongoza kwakuoneana wivu basi nenda kichwakichwa! Hata mama yako mzazi anaweza kuongea uongo kuhusu mwali wake kama hampendi! Jiongeze!
 
Pole sana Mkuu. Pole sana.... Changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…