Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

Hiyo miguu imekonda baada ya kukuvulia nguo zake za ndani au kabla ya hapo, na kama toka mwanzo, mbona ulimtongoza na kuwa nae?

Tuache tamaa za kijinga wanaume, tujifunze kuridhika, utampata mwingine utakuja JF kulalamika amekondeana makalio.
 
Yaan mwanaume akikuchoka anakutaftia sababu hivi miaka yote hujaona miguu yake ilivyokonda uione leo basi muache katafute mwenye miguu ya beer
Kweli kabisa,ameshamchoka sio bure
 
Sisi Tunakupa Ushauri Tuu.

Kwanza ,

Umeshasema ni Mkeo..! Hapo hakuna kuachana. Kama ni ugonjwa mpeleke hospitalini.

Kama amekonda hadi amekuwa hivyo Ongeza matunzo tuu mkuu.

Pili,
Jifanye wewe ndio yeye, umekonda wewe...! Yeye yuko amenawiri..

Vile ambavyo unahisi angepaswa kukufanyia wewe ukiwa umekonda NDIO UNAPASWA KUMFANYIA HIVYO.

Baada ya mwezi ulete mrejesho mkuu.
 
Yaan mwanaume akikuchoka anakutaftia sababu hivi miaka yote hujaona miguu yake ilivyokonda uione leo basi muache katafute mwenye miguu ya beer
Kipindi kile cha nyyeqe kuwa juu huwa si rahisi kuona. Ikishaisha ndio unaona kumbe nilibeba sivyo.
 
Hebu tufafanulie,mwanzoni hiyo miguu ilikuwa minene?
Je, alikuwa mwembamba baadae akanenepa ila miguu ikabaki myembamba?
 
Mpe supu ya kongoro kutwa mara mbili asubuhi na kabla hajalala. Baada ya wiki tatu njoo utueleze mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…