Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

16475108ac5d22519d27a22121f18d2c.jpg
Dodosha basi hata kanamba mwanike ..mh watoto wadarisalamaa yekhiii!!
 
Hiyo miguu imekonda baada ya kukuvulia nguo zake za ndani au kabla ya hapo, na kama toka mwanzo, mbona ulimtongoza na kuwa nae?

Tuache tamaa za kijinga wanaume, tujifunze kuridhika, utampata mwingine utakuja JF kulalamika amekondeana makalio.
 
Yaan mwanaume akikuchoka anakutaftia sababu hivi miaka yote hujaona miguu yake ilivyokonda uione leo basi muache katafute mwenye miguu ya beer
Kweli kabisa,ameshamchoka sio bure
 
Habarini za majukumu wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).

Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.

KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.

Natanguliza shukrani
Sisi Tunakupa Ushauri Tuu.

Kwanza ,

Umeshasema ni Mkeo..! Hapo hakuna kuachana. Kama ni ugonjwa mpeleke hospitalini.

Kama amekonda hadi amekuwa hivyo Ongeza matunzo tuu mkuu.

Pili,
Jifanye wewe ndio yeye, umekonda wewe...! Yeye yuko amenawiri..

Vile ambavyo unahisi angepaswa kukufanyia wewe ukiwa umekonda NDIO UNAPASWA KUMFANYIA HIVYO.

Baada ya mwezi ulete mrejesho mkuu.
 
Yaan mwanaume akikuchoka anakutaftia sababu hivi miaka yote hujaona miguu yake ilivyokonda uione leo basi muache katafute mwenye miguu ya beer
Kipindi kile cha nyyeqe kuwa juu huwa si rahisi kuona. Ikishaisha ndio unaona kumbe nilibeba sivyo.
 
Habarini za majukumu wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).

Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.

KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.

Natanguliza shukrani
Hebu tufafanulie,mwanzoni hiyo miguu ilikuwa minene?
Je, alikuwa mwembamba baadae akanenepa ila miguu ikabaki myembamba?
 
Habarini za majukumu wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).

Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.

KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.

Natanguliza shukrani
Mpe supu ya kongoro kutwa mara mbili asubuhi na kabla hajalala. Baada ya wiki tatu njoo utueleze mkuu.
 
Back
Top Bottom