Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,284
Pole mkuu.
Zipo njia unaweza kuongeza unene wa miguu.
Hii inawezekana kwa kufanya mazoezi yanayojenga misuli kwenye miguu.
Mtie moyo mwenzako afanye yafuatayo
1. Ale vyakula vya protein zaidi.
2. Aache kabisa kula processed food kwasababu kwenye huu ushauri wangu inajumuisha workout sasa vyakula processed vinaleta uchovu. Ukila atashindwa mazoezi.
3. Fanya squats. Squat + box jumping. Pia awe anakimbia sehemu yenye mwinuko. Inasaidia kutengeneza muscles kwenye miguu
4. Ajitahidi kuvaa nguo ndefu.
Zipo njia unaweza kuongeza unene wa miguu.
Hii inawezekana kwa kufanya mazoezi yanayojenga misuli kwenye miguu.
Mtie moyo mwenzako afanye yafuatayo
1. Ale vyakula vya protein zaidi.
2. Aache kabisa kula processed food kwasababu kwenye huu ushauri wangu inajumuisha workout sasa vyakula processed vinaleta uchovu. Ukila atashindwa mazoezi.
3. Fanya squats. Squat + box jumping. Pia awe anakimbia sehemu yenye mwinuko. Inasaidia kutengeneza muscles kwenye miguu
4. Ajitahidi kuvaa nguo ndefu.